プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
cum producunt iam ex se fructum scitis quoniam prope est aesta
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa mungu katika paji la uso.
et praeceptum est illis ne laederent faenum terrae neque omne viride neque omnem arborem nisi tantum homines qui non habent signum dei in frontibu
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
juu ya msingi huo mtu anaweza kujenga kwa dhahabu, fedha au mawe ya thamani; anaweza kutumia miti, majani au nyasi.
si quis autem superaedificat supra fundamentum hoc aurum argentum lapides pretiosos ligna faenum stipula
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.
alius enim credit manducare omnia qui autem infirmus est holus manduca
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
"kwa mtini jifunzeni mfano huu: mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
a ficu autem discite parabolam cum iam ramus eius tener fuerit et nata fuerint folia cognoscitis quia in proximo sit aesta
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara kuu ya mji. kandokando ya mto huo kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili kwa mwaka, yaani kila mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa.
in medio plateae eius et ex utraque parte fluminis lignum vitae adferens fructus duodecim per menses singula reddentia fructum suum et folia ligni ad sanitatem gentiu
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
basi, akaona kwa mbali mtini wenye majani mengi. akauendea ili aone kama ulikuwa na tunda lolote. alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote ila majani matupu, kwa vile hayakuwa majira ya mtini kuzaa matunda.
cumque vidisset a longe ficum habentem folia venit si quid forte inveniret in ea et cum venisset ad eam nihil invenit praeter folia non enim erat tempus ficoru
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
"lakini ole wenu mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa mungu. mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
sed vae vobis pharisaeis quia decimatis mentam et rutam et omne holus et praeteritis iudicium et caritatem dei haec autem oportuit facere et illa non omitter
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています