プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
kuba bielecki anaongea kwa kejeli:
kuba bielecki speaks with irony:
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
lakini yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.
but he spake of the temple of his body.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
papo hapo midomo na ulimi wake zakariya vikafunguliwa, akawa anaongea akimsifu mungu.
and his mouth was opened immediately, and his tongue loosed, and he spake, and praised god.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
hapa, anaongea juu ya maisha ya gerezani nchini libya katika enzi za utawala wa zamani:
here he describes prison life in libya during the rule of the old regime:
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
anayafahamu maneno yaliyojaa maana, anaongea kishairi, anaweza kuwachanganya wananchi, hata wanahabari, ambao hawamfuatilii kwa makini.
he knows words that are loaded with meaning, he speaks poetry, and he can confuse people, even journalists, who don’t follow him critically.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
alipokuwa bado anaongea, kundi la watu likaja likiongozwa na yule aliyeitwa yuda, mmoja wa wale mitume kumi na wawili. yuda akaenda kumsalimu yesu kwa kumbusu.
and while he yet spake, behold a multitude, and he that was called judas, one of the twelve, went before them, and drew near unto jesus to kiss him.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
lakini petro akasema, "bwana wee; sijui hata unachosema!" na papo hapo, akiwa bado anaongea, jogoo akawika.
and peter said, man, i know not what thou sayest. and immediately, while he yet spake, the cock crew.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
laura morris, mhariri wa rising voices anaongea na washindi waliopita kutoka naijer, guatemala ana ugiriki kuhusu utaratibu wa kutuma maombi, miradi yao na uzoefu wao wa kuwa sehemu ya jamii ya rising voices.g
laura morris, rising voices editor speaks to former winners from niger, guatemala and greece about the application process, their projects and experiences being part of the rv community.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. lakini hakuna mtu aliyesema: "unataka nini?" au, "kwa nini unaongea na mwanamke?"
and upon this came his disciples, and marvelled that he talked with the woman: yet no man said, what seekest thou? or, why talkest thou with her?
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています