プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
mwezi aprili mwaka 2009, rais wa irani, ahmedinejad, aliandika barua akitaka kesi ya hossein derakshan ishughulikiwe haraka na kwa kuzingatia sheria.
in april of 2009, iranian president, president ahmadinejad, issued a letter calling for hossein derakhshan’s case to be processed in a timely and legal fashion.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
wapo wanaodhani kwamba derakshan, ambaye katika miaka ya karibuni alitokea kuwa mwungaji mkono wa serikali ya rais ahmedinejad, alikamatwa kwa sababu aliwakashifu viongozi wa kidini nchini humu.
some speculate that derakhshan, who in recent years became a supporter of president ahmadinejad’s government, was arrested because he insulted some religious leaders in the country.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
katika blogu iliyoanzishwa na familia ya derakshan, edalat baraye hossein derakhshan(ikiwa na maana ya haki kwa ajili ya hossein derakshan) bado hakuna taarifa mpya zinazohusiana na taarifa hii.
in a blog created by derakhshan's family, edalat baraye hossein derakhshan (meaning justice for hossein derakhshan) there are still no reports or updates on this topic.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
derakshan anashitakiwa kwa "kushirikiana na dola adui, kupiga propaganda dhidi ya utawala wa kiislamu, kudhihaki utakatifu wa kidini, na kuandaa propaganda kwa ajili ya vikundi vinavyopinga mapinduzi."
derakhshan has been accused of “collaborating with enemy states, creating propaganda against the islamic regime, insulting religious sanctity, and creating propaganda for anti-revolutionary groups.”
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
kupitia twita, sanam dolatshahi alituma twitakuhusu habari za uwezekano wa kuwepo na adhabu ya kifo, vilevile kuna tovuti moja ya uajemi inayojulikana kama kamtarin ambayo nayo imetaja uwezekano huo, ikizingatiwa kwamba licha ya minong'ono iliyokuwepo hapo kabla kwamba derakshan alikamatwa kwa "ujasusi" nchini israeli , lakini ni wazi kwamba hii si moja kati ya makosa ambayo kwayo mwendesha mashtaka anataka itolewe adhabu ya kifo.
on twitter, sanam dolatshahi tweeted the news of a possible death penalty, and a site in persian called kamtarin has also mentioned it, noting that despite previous rumors that derakhshan was being held for "spying" in israel this is apparently not one of the accusations for which the prosecutor seeks his death.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています