プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
except an old woman (his wife) among those who remained behind.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
akasema: je, hivyo mimi nizae, na hali yangu ni kikongwe na huyu mume wangu ni kizee?
she said, "woe to me! shall i give birth while i am an old woman and this, my husband, is an old man?
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: mimi ni kikongwe na tasa!
(sarah) his wife came with an exclamation and clasped her face, and said: 'surely, i am a barren old woman'
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
na jambo lingine linalovutia ni kwamba chama tawala cha zamani, udf hakina mgombea wa urais baada ya kiongozi wake, bakili muluzi kukataliwa na tume ya uchaguzi, ikikilazimisha kuungana na chama kingine kikubwa cha upinzani, mcp ambacho nacho ni kikongwe kuliko vyote nchini.
another interesting aspect is that the former ruling party, the united democratic party (udf), is not fielding a presidential candiate after its leader, bakili muluzi, was rejected by the electoral commission, which has forced the party to go into an alliance with another leading positiion, the malawi congress party (mcp) which is also the oldest party in the country.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
hali imezidi kuwa tata kutokana na uwepo wa vikosi vya jeshi katika eneo hilo na kulitenga eneo hilo na maeneo mengine ya nchi, hali ni mbaya kiasi kwamba makundi ya wenyeji hawawezi kutembea kwa uhuru katika ardhi yao na wakati huohuo waandishi wa habari wanazuiwa kuingia ili kuripoti kuhusu vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu, hasa vile vinavyosemekana kufanywa na wauaji wa kukodi wa kikolumbia ambao wamekuwa wakilenga kila mtu; hivi karibuni tu walimshambulia mpaka kumuua kikongwe wa miaka 109 mwenyeji wa eneo hilo.
this situation has been made more difficult due to military presence in the area which has caused a siege state, where the indigenous groups are not allowed to walk freely on their lands or out of them and journalists are blocked from going inside the area to report of human rights abuses such as the alleged hiring of colombian hit-men who have been targeting entire communities and who beat to death a 109 year old indigenous elder.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質: