プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
matumizi ya data ya eneo kutoka simu za rununu na serikali kwa matumizi haya imechochea wasiwasi kuhusu faragha, na shirika la amnesty international na zaidi ya mashirika 100 mengine kutoa tangazo wakitaka kuwekwa kwa mipaka kwa ufuatiliaji kama huu.
the use of location data from mobile phones by governments for this purpose has prompted privacy concerns, with amnesty international and over 100 other organizations issuing a statement calling for limits on this kind of surveillance.
最終更新: 2020-08-25
使用頻度: 1
品質:
programu tofauti ya simu za rununu zimetekelezwa au kupendekezwa kwa matumizi ya hiari, na kufikia aprili 7, 2020, zaidi ya vikundi kumi na mbili ya wataalam walikuwa wanaunda suluhisho yanayolinda faragha, kama vile kutumia bluetooth kutuma umbali wa mtumizi na simu za rununu zingine.
various mobile apps have been implemented or proposed for voluntary use, and as of april 7, 2020, over a dozen expert groups were working on privacy-friendly solutions, such as using bluetooth to log a user's proximity to other cellphones.
最終更新: 2020-08-25
使用頻度: 1
品質:
関係性の低い人による翻訳は非表示になります。
関係性の低い結果を表示します。