プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
kwa kawaida, global voices imekuwa na jumuiya imara ya waandishi wanaojitolea, watafsiri, na wahariri wanaoishi katika mji mkuu wa cairo.
traditionally, global voices has had a strong community of volunteer authors, translators, and editors living around the cairo metropolitan area.
majambazi wameweza hata kuyavamia makao makuu ya taifa ya polisi na wizara ya mambo ya nje katika mji mkuu wa yaounde.
bandits even stormed the national headquarters of the police and the ministry of external relations (foreign affairs) in the capital city, yaounde.
kwa wale ambao walishindwa kuwepo kwenye mji mkuu wa asuncion kushuhudia sherehe, picha zinaweza kupatikana katika ukurasa rasmi wa picha za kiongozi huyo kwenye flickr.
for those unable to be present in the capital city of asunción to witness the festivities, photos can be found on his official flickr account.
maiti zao zitabaki katika barabara za mji mkuu ambapo bwana wao alisulubiwa; jina la kupanga la mji huo ni sodoma au misri.
and their dead bodies shall lie in the street of the great city, which spiritually is called sodom and egypt, where also our lord was crucified.
dar es salaam, ambao ni mji mkuu wa kibiashara wa tanzania, unarejea katika hali yake ya kawaida baada ya siku mbili za kuwa mwenyeji wa mtu anayeaminika kuwa mwenye mvuto mkubwa duniani, rais wa marekani, barack obama.
dar es salaam, tanzania's commercial capital, is getting back to normal after two days in which the city found itself playing host to arguably the most powerful man on earth: president barack obama of the united states.
gazeri la the daily mail linadai sarafu hizo zimetengenezwa kwenye miaka isiyopungua 10,000, kutoka ragga, mji mkuu uliotangazwa na isis nchini syria, kila moja ikiuzwa kwa zaidi ya dola milioni na zimeibwa kutoka syria na iraq kupitia uturuki na lebanon.
the daily mail claims that 10,000-year-old antiques, from the isis self-proclaimed capital raqqa, in syria, sell for more than $1 million each and are smuggled from syria and iraq through turkey and lebanon.
hali bado inaonekana kuwatete nchini burundi, lakini hapa ni mhutasri wa kile kinachofahamika na kile kisichoeleweka vyema jijini bujumbura, mji mkuu wa penelope starr (kupitia blogu ya un dispatch):
the situation is evidently still very fluid in burundi, but here is summary of what is known and what is still not clear in bujumbura, the capital from penelope starr (via un dispatch blog):
crisis commons, mtandao wa wataalamu wa teknolojia ambo hutengeneza zana kwa ajili ya misaada ya dharura, imetangaza kuwa inaendesha mradi unaofanana ambao unaweka kwenye ramani jitihada zote za usambazaji misaada na kutengeneza ramani maalum ya janga inayoonyesha mahitaji ya mji mkuu wa haiti, port au prince, ili kuyawezesha mashirika ya misaada kuitumia ramani hiyo kama nyenzo ya kufanyia mipango.
crisis commons, a network of technology professionals that creates tools for humanitarian relief response, has announced that it has undertaken a similar project to map relief efforts and to generate a crisis-specific baseline map of haiti’s capital, port-au-prince, for relief agencies to use as planning reference.
baadhi ya watumiaji wa twita wanaripoti juu ya majengo, mitaa au taarifa nyingine za muhimu kwa wale wanaotafuta familia zao au wale wanaojaribu kusafiri ndani ya nchi hiyo. @yatalley anaandika kuwa barabara inayotoka mji mkuu, port au prince, kuelekea mji wa jacmel haipitiki.
some twitter users are reporting on specific buildings, streets, and other practical information for those looking for families or attempting to move throughout the country. @yatalley notes that the road from the capital, port-au-prince, to the town of jacmel is impassable:
@usembassykrt: upatikanaji wa intanenti na pengine simu za mkononi zinaweza kuwa na matatizo ya upatikanaji au kutokupatikana kabisa nchini humu kufuatia upinzani wa umma dhidi ya serikali na maandamano yanayoendelea katika mji mkuu wa nchi hii.
@usembassykrt: internet access and possibly cell phones may be disrupted or limited in sudan due to the protests and demonstrations in the capital city.
siku ya jumanne februari 12, 2013, kikundi cha wanaharakati wa ki-mauritania kiliandaa maandamano mbele ya ubalozi wa misri jijini nouakchott, mji mkuu wa mauritania, kupinga udhalilishaji wa kijinsia na ubakaji ambao wanawake wa ki-misri wamekuwa wakikumbana nao kwenye viwanja vya tahrir jijini cairo.
on tuesday february 12, 2013, a group of mauritanian activists staged a protest in front of the egyptian embassy in nouakchott, the mauritanian capital, against sexual harassment and rape which egyptian women are being subject to in cairo's tahrir square.