プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
serikali za kimataifa zimeingia kwenye mazungumzo na serikali ya kongo kutafuta suluhu na kumaliza ghasia zinazoendelea katika miji yao mikuu.
international governments have already approached the congolese government to intercede and stop the violence in their capitals.
na mola wako mlezi haangamizi miji mpaka ampeleke mtume katika miji yake mikuu awasomee ishara zetu. wala hatuiangamizi miji mpaka watu wake wawe madhaalimu.
and never does your lord destroy towns until he sends a noble messenger to their principal town, reciting our verses to them; and we never destroy towns unless its people are unjust.
kumekuwa na ongezeko kubwa duniani katika matukio ya ubaguzi wa rangi unaowalenga watu wa asili ya asia mashariki, ikiwa ni pamoja na miji mikuu kama vile new york, london na san francisco.
there has been a worldwide spike in racist incidents targeting people of east asian origin, including in major cities such as new york, london and san francisco.
nchini marekani, miji ingi mikuu ilitangaza kufungwa kwa maktaba ya umma, ikiwa ni pamoja na los angeles, san francisco, seattle na jiji la new york huku maktaba 221 ikiathirika.
in the united states, numerous major cities announced public library closures, including los angeles, san francisco, seattle, and new york city, affecting 221 libraries.
katika wiki hii ya pili ya maandamano ya kitaifa, ambayo yalikuja kufuatia kuongezwa kwa nauli za usafiri wa umma, maandamano yalifanyika kwenye zaidi ya maeneo 100 pamoja na kupunguzwa kwa nauli katika miji mingi ikiwa ni pamoja na miji mikuu kama vile rio de janeiro na sao paulo, kuonesha kuwa “halikuwa tu suala la senti 20”.
in this second week of national protests, which began over a rise in bus fare prices, the demonstrations happened in more than 100 places despite the reduction of bus fare in many cities, including major capitals such as rio de janeiro and sao paulo, showing that “it was not just about 20 cents”.