プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
bin ich andern nicht ein apostel, so bin ich doch euer apostel; denn das siegel meines apostelamts seid ihr in dem herrn.
hata kama kwa watu wengine mimi si mtume, lakini walau kwenu ninyi mimi ni mtume. ninyi ni uthibitisho wa mtume wangu kwa sababu ya kuungana kwenu na bwana.
grüßet den andronikus und den junias, meine gefreundeten und meine mitgefangenen, welche sind berühmte apostel und vor mir gewesen in christo.
salamu zangu kwa androniko na yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa wakristo kabla yangu mimi.
da stand aber auf im rat ein pharisäer mit namen gamaliel, ein schriftgelehrter, in ehren gehalten vor allem volk, und hieß die apostel ein wenig hinaustun
lakini mfarisayo mmoja aitwaye gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
da fielen sie ihm zu und riefen die apostel, stäupten sie und geboten ihnen, sie sollten nicht reden in dem namen jesu, und ließen sie gehen.
hivyo wakawaita wale mitume, wakaamuru wachapwe viboko na kuwaonya wasifundishe tena kwa jina la yesu; kisha wakawaacha waende zao.
dazu ich gesetzt bin als prediger und apostel (ich sage die wahrheit in christo und lüge nicht), als lehrer der heiden im glauben und in der wahrheit.
kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. nasema ukweli; sisemi uongo!
bin ich nicht ein apostel? bin ich nicht frei? habe ich nicht unsern herrn jesus christus gesehen? seid ihr nicht mein werk in dem herrn?
je, mimi si mtu huru? je, mimi si mtume? je, mimi sikumwona yesu bwana wetu? je, ninyi si matokeo ya kazi yangu kwa ajili ya bwana?
und sie gaben schrift in ihre hand, also: wir, die apostel und Ältesten und brüder, wünschen heil den brüdern aus den heiden, die zu antiochien und syrien und zilizien sind.
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
barnabas aber nahm ihn zu sich und führte ihn zu den aposteln und erzählte ihnen, wie er auf der straße den herrn gesehen und er mit ihm geredet und wie er zu damaskus den namen jesus frei gepredigt hätte.
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.