プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
quaerebant ergo eum adprehendere et nemo misit in illum manus quia nondum venerat hora eiu
basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
nondum enim in quemquam illorum venerat sed baptizati tantum erant in nomine domini ies
maana wakati huo roho mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la bwana yesu.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
haec verba locutus est in gazofilacio docens in templo et nemo adprehendit eum quia necdum venerat hora eiu
yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha hekaluni. wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et cum ascendissent navem venerunt trans mare in capharnaum et tenebrae iam factae erant et non venerat ad eos iesu
wakapanda mashua ili wavuke kwenda kafarnaumu. giza lilikuwa limeingia, na yesu alikuwa hajawafikia bado.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
venit autem et nicodemus qui venerat ad iesum nocte primum ferens mixturam murrae et aloes quasi libras centu
naye nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea yesu usiku, akaja akiwa amechukua mchanganyiko wa manemane na ubani kiasi cha kilo thelathini.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et surgens abiit et ecce vir aethiops eunuchus potens candacis reginae aethiopum qui erat super omnes gazas eius venerat adorare in hierusale
basi, filipo akajiweka tayari, akaanza safari. wakati huohuo kulikuwa na mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya kandake, malkia wa ethiopia. alikuwa amekwenda huko yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質:
et inveniens quendam iudaeum nomine aquilam ponticum genere qui nuper venerat ab italia et priscillam uxorem eius eo quod praecepisset claudius discedere omnes iudaeos a roma accessit ad eo
huko korintho, alimkuta myahudi mmoja aitwaye akula, mzaliwa wa ponto. akula pamoja na mkewe aitwaye priskila, walikuwa wamerudi kutoka italia siku hizohizo kwa sababu kaisari klaudio alikuwa ameamuru wayahudi wote waondoke roma. paulo alikwenda kuwaona,
最終更新: 2012-05-04
使用頻度: 1
品質: