プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
haji, who has run on opposition tickets in tanzanian presidential elections in the past, was minister of infrastructure and communications until lowassa defected.
haji, ambaye katika chaguzi za miaka kadhaa iliyopita amekuwa akigombea kwenye nafasi za kitaifa kwa tiketi ya vyama vya upinzani, alikuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano hadi kipindi lowassa anaihama ccm.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
lowassa defected in late july after he was eliminated from the list of presidential aspirants for the ruling party chama cha mapinduzi (ccm).
lowassa alikihama chama tawala mapema mwisho wa mwezi julai mara baada ya kuenguliwa kwenye orodha ya wawania kiti cha urais kupitia chama tawala chama cha mapinduzi (ccm).
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
tanzania's october 25 general election will be the most tightly contested election in the country's history after hugely popular former prime minister, edward lowassa, defected from the ruling party to join the main opposition bloc.
uchaguzi mkuu wa octoba 25 nchini tanzania utakuwa na ushindani mkali kuliko uchaguzi mwingine wowote uliowahi kufanyika katika historia ya nchi hiyo baada ya waziri mkuu mstaafu na mwenye umaarufu mkubwa, edward lowassa kuachana na chama tawala na kujiunga na umoja wa vyama vya upinzani.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質: