전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
ascendit autem et ioseph a galilaea de civitate nazareth in iudaeam civitatem david quae vocatur bethleem eo quod esset de domo et familia davi
aliposikia kwamba ni yesu wa nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, "yesu, mwana wa daudi, nihurumie!"
qui cum audisset quia iesus nazarenus est coepit clamare et dicere fili david iesu miserere me
ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. lakini wao wakazidi kupaaza sauti: "mheshimiwa, mwana wa daudi, utuhurumie!"
turba autem increpabat eos ut tacerent at illi magis clamabant dicentes domine miserere nostri fili davi
basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu abrahamu mpaka daudi, vizazi kumi na vinne tangu daudi mpaka wayahudi walipochukuliwa mateka babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa kristo.
omnes ergo generationes ab abraham usque ad david generationes quattuordecim et a david usque ad transmigrationem babylonis generationes quattuordecim et a transmigratione babylonis usque ad christum generationes quattuordeci
daudi mwenyewe akiongozwa na roho mtakatifu alisema: bwana alimwambia bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
ipse enim david dicit in spiritu sancto dixit dominus domino meo sede a dextris meis donec ponam inimicos tuos scabillum pedum tuoru
kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, "usilie! tazama! simba wa kabila la yuda, mjukuu maarufu wa daudi, ameshinda. yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu."
et unus de senioribus dicit mihi ne fleveris ecce vicit leo de tribu iuda radix david aperire librum et septem signacula eiu