전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba yohane alikuwa nabii."
sed se ni diros:el homoj; la tuta popolo sxtonmortigos nin, cxar ili estas konvinkitaj, ke johano estis profeto.
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
kaj jesuo responde diris al li:felicxa vi estas, simon bar-jona; cxar ne karno kaj sango tion malkasxis al vi, sed mia patro, kiu estas en la cxielo.
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
pro tio, kiel per unu homo peko eniris en la mondon, kaj morto per peko, kaj tiel morto atingis cxiujn homojn pro tio, ke cxiuj pekis;
mwaka umepita tangu kung'olewa madarakani kwa rais wa misri mohamed morsi na serikali mpya tayari inakosolewa vikali kwa uvunjifu wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja na kukamatwa kiholela kwa raia.
unu jaro pasis post kiam la egipta eksprezidanto mohamed morsi estis forpelita, kaj la nova reĝimo jam ricevis multe da kritikoj pro sia malrespekto de homaj rajtoj, ĉefe pro arbitra arestado.
yesu akawatazama, akawaambia, "kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa mungu si hivyo, maana kwa mungu mambo yote huwezekana."
rigardante ilin, jesuo diris:cxe homoj tio estas neebla, sed ne cxe dio; cxar cxio estas ebla cxe dio.
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
nenia tento vin prenis, krom laux homa forto; sed fidela estas dio, kiu ne lasos vin esti tentataj super via forto; sed kune kun la tento ankaux faros la forkurejon, por ke vi povu gxin elporti.
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
tamen, se vi plenumas la regxan legxon laux la skribo:amu vian proksimulon kiel vin mem-vi faras bone;
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
cxar cxu mi nun influas homojn, aux dion? aux cxu mi celas placxi al homoj? se mi ankoraux nun placxus al homoj, mi ne estus servisto de kristo.
lakini, ni kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
sed kiel estas skribite: tion, kion okulo ne vidis kaj orelo ne auxdis, kaj kio en la koron de homo ne eniris, dio preparis por tiuj, kiuj lin amas.