전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
kuhusu uchaguzi mkuu, othman alifikiri:
regarding the general election, othman observed:
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
botswana inaongea neno tofauti kuhusu uchaguzi wa zimbabwe.
botswana speaks different word on zim elections.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
kwa habari zaidi, angaliaukurasa maalum wa gv kuhusu uchaguzi wa naijeria.
for more coverage, check out gv's special page on the nigerian election.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
labda hata mimi anaandika kuhusu uchaguzi wa tanzania na jumuiya inayokua ya teknolojia:
labda hata mimi writes about tanzania election and the growing tech community:
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
naijeria: wanablogu wa ki-naijeria wanasema nini kuhusu uchaguzi wa mwaka 2011?
nigeria: what are nigerian bloggers saying about the 2011 elections? · global voices
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
makala hii ni moja ya makala maalum za global voices kuhusu uchaguzi mkuu wa india wa 2009.
this post is part of the global voices special coverage on indian elections 2009
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
kwa nini vyombo vikuu vya habari vya kimagharibi havikwambii kuhusu uchaguzi huo wa amani wa lesotho?
why is western mainstream media not telling you about lesotho's peaceful election?
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
lee kin mun anaandika kuhusu uchaguzi wake wa kuwa “baba wa blogu” ya singapore yaani mrbrown:
lee kin mun writes about his choice to become singapore's "blogfather" mrbrown:
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
mkenya david ogara (@david_ogara) alifanya hitimisho chungu kuhusu uchaguzi wa afrika:
kenyan david ogara (@david_ogara) came to a bitter conclusion about elections in africa:
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
katika kituocha habari cha ufaransa cha france 24, watoa maoni wachache kutoka kongo wametoa maoni yao kuhusu uchaguzi.
at the french news site france 24, a few commenters from congo have expressed their opinions on the election.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
kwa mfano, mwandishi wa habari dmitry aleshkovsky aliblogu kuhusu uchaguzi huo katika wilaya ndogo katika jamhuri ya tatarstan kwa kutumia lugha kali:
for example, journalist dmitry aleshkovsky blogged about the elections in a small district in the republic of tatarstan in very apocalyptic terms :
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
taasisi ya utafiti wa sera za umma (ippr) vilevile ilitumia mitandao ya kijamii kama facebook kuwaruhusu watu kutoka duniani kote kueleza maoni na mawaoz yao kuhusu uchaguzi wa namibia.
the institute for public policy research (ippr) also used social networks such as facebook to allow people from all over the world to express their views and opinions about namibian elections.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
@fanamokoena: inasikitisha kwamba vyombo vya habari vya afrika kusini vinatupa habari za mara kwa mara kuhusu uchaguzi wa ufaransa lakini vinashindwa kufanya hivyo kwa nchi jirani ya lesotho.
@fanamokoena: it's embarrassing that sa media gives us daily updates on french elections but fail to do the same for sister country lesotho.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
michel taube, mkurugenzi wa tovuti ya habari inayotumia lugha ya kifaransa "l'opinion internationale" alielezea upinzani wa serikali ya ufaransa kuhusu uchaguzi huo:
michel taube, director of the french-language current affairs website "l'opinion internationale" explained the position of the french government on the poll:
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
kikundi cha wanablogu kilipewa mafunzo na penplus bytes, taasisi ya kimataifa ya uandishi wa teknohama kwa ushirikiano na new media insitute kwa lengo la kuangalia na kutoa maoni yao kuhusu uchaguzi huo kwa kutumia blogu, teknolojia ya twita na simu za viganjani.
a group of malawian bloggers were trained by penplusbytes, an international institute of ict journalism in collaboration with new media institute to monitor and comment on the elections using blogs, twitter and mobile phones.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
kwa mujibu wa magazeti ya uganda, ghasia katika chuo kikuu cha makerere, chuo kikuu kikubwa zaidi nchini uganda, zilianza baada ya wanafunzi wawili kupigwa risasi na mmoja kujeruhiwa vibaya na mlinzi wa usalama usiku wa jumatatu wakati wa mkutano kuhusu uchaguzi wa wanafunzi.
according to ugandan newspapers, the riots at makerere university, uganda's largest university, began after two students were shot dead and another critically injured by a security guard monday night during a meeting about the current student guild elections.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
kutofurahishwa kwa al omran kulichochewa zaidi baada ya saudi aggie, mwanafunzi mwenye jina la nathan wa chuo kikuu cha sayansi na teknolojia cha mfalme abdulla (kaust) kilichofunguliwa hivi karibuni alipoleta malalamiko kwamba gazeti hilo limetumia picha zake pamoja na uchambuzi wake kuhusu uchaguzi wa wanafunzi hivi majuzi.
al omran's distaste was further fueled after saudi aggie, a student named nathan at the newly opened king abdulla university of science and technology (kaust) raised the alarm that the paper had used his photographs and coverage of the recent students elections.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질: