전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
kwa miongo kadhaa, utamaduni wa familia kuishi pamoja nchini india ulimaanisha kuwa vizazi kadhaa kuanzia babu mpaka wajukuu viliishi kwenye nyumba moja.
for centuries, the joint family tradition in india meant that several generations from grandparents to grandchildren lived under the same roof.
tofauti hiyo inasikitisha zaidi afrika kwa sababu kiwango cha umasikini kimeendelea kuwa juu kwa miongo mingi mfululizo, pamoja na kukua kwa wastani wa pato la taifa barani humu.
the contrast is all the more striking in africa since the poverty level has been at a consistently high level for decades, despite the continent's significant average gdp growth.
kutokana na harakati zake za kisiasa, serikali ya zamani ilimfunga jela kwa karibu miongo miwili, walimtesa, kumnyima matibabu na kumpokonya nyumbani kwake.
due to his political activities, the former regime put him in jail for nearly two decades, tortured him, withheld medical treatment and confiscated his home.
dokumentari hii inasaili safari ya ubunifu ya ama ata aidoo ya miongo saba kuanzia enzi za ghana inayotawaliwa na wakoloni, kupitia nyakati za uhuru, mpaka afrika ya leo ambako ubunifu wa vipaji vya wanawake hauonekani kiwepesi.
this feature-length documentary charts ama ata aidoo's creative journey in a life that spans 7 decades from colonial ghana, through the tumultuous era of independence, to a more sober present day africa where nurturing women's creative talent remains as hard as ever.
hata hivyo, enzi za utumwa na miongo mingine iliyofuata baada ya kukomeshwa kwa biashara hiyo ya watu nchini brazil mwaka 1888, ibada za candomblé zilipigwa marufuku na serikali na kanisa katoliki, na wafuasi wake waliadhibiwa vikali.
however, during the period of slavery and for many decades following its abolition in brazil in 1888, candomblé practices were banned by the government and by the catholic church, and its practitioners were severely punished.
makamanda wa jeshi wamemuondoa madarakani rais sidi ould cheikh abdallahi, rais wa kwanza kuchaguliwa katika uchaguzi huru katika miongo miwili, katika mapinduzi ya kijeshi yaliyofanywa jumatano iliyopita baada ya mtafaruku wa kisiasa uliotokana na rais huyo kuwatimua kazi majenerali wanne wa ngazi za juu wa jeshi.
army commanders ousted mauritania's first freely elected president in two decades, president sidi ould cheikh abdallahi, in a military coup d'état wednesday after political feuding over the firing of the country's four top generals.
kwa kweli, ufumbuzi unaelezwa katika ilani, ndiyo yale ambayo pap imekuwa ikiyafanya kwa miongo mingi iliyopita, kwa mfano, kuwapa mafunzo wafanyakazi wa kipato cha chini kutoka kazi moja ya kipato cha chini kwenda nyingine n.k.
in fact, where solutions are cited in the manifesto, they are what the pap has been doing in the past decades e.g. retraining of low income workers from one low income job to another etc.
familia za punjabi zinazoishi kwenye jimbo la balochistani kwa miongo mingi kwa sasa wamepachikwa majina ya vikundi vingine kama “walowezi” wasiohitajika, mamia wakiwa wameshauawa kwenye mashambulio na maelfu wakiwa wamelazimika kuyakimbia makazi yao kwa sababu ya ghasia.
punjabi families who have lived in balochistan for decades are now branded by some groups as unwanted “settlers”, hundreds have been killed in attacks and thousands forced to flee the violence.