전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
ni hari ngumu, hasa kwa sababu moroko imekuwa ikichukliwa kama taifa la wastani ambalo linahimiza uhusiano wa amani kati ya watu wa imani tofauti.
its a rough situation, especially since morocco has been considered a moderate nation which encourages peaceful relations between peoples of different faiths.
baada ya kuwepo kwangu katika mji huu wa amani, taarifa za habari kuhusu mapigano na mauaji na kuchomwa moto nyumba za watu haziingii akili mwangu.
after my experience in this peaceful town, the news reports about the fighting and killing and burning of homes is unbelievable to me.
katika nchi pekee ya kidemokrasia katika eneo la mashariki ya kati, waandamanaji wa amani wanakanyagwa, wanapigwa na kukamatwa kwa sababu walijaribu kutumia haki yao ya kidemokrasia ya kuandamana.
in the only democracy in the middle east, peaceful protesters get run over, beaten and arrested because they attempted to exercise their democratic right to protest.
kwa masikitiko, ni jambo la kusikitisha kueleza kuwa hakuna mtendaji hata mmoja wa moja kwa moja au wa vinginevyo walio na dhati na waliojitoa kwa vitendo kuhakikisha mafanikio ya mchakato wa amani nchini nepal.
forlornly, it is hapless to describe that no any single direct and indirect actors found sincere and practically committed towards the success of ongoing peace process of nepal.
asisa ambaye ni mwanachama wa walinzi wa amani wa amasom nchini somalia alipatiaka na hatia ya kujuhusisha na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke wa kisomali aitwaye nimco omar na kumpa ujauzito baada ya kumuoa kwa kumdanganya kuwa alikuwa mwislamu.
mr. asisa who is a member of the amasom peace-keepers in somalia have been found guilty for engaging in an affair with a young somali woman by the name of nimco omar and impregnating her after marrying her under a false pretence by telling her that he was a muslim.
krishna hari pushkar, amabye anafanya kazi katika wizara ya mambo ya ndani ya nepal, anaziweka baadhi ya lawama za mchakato wa amani unaoweweseka kwa “watendaji wa kigeni”:
krishna hari pushkar, who works for nepal's ministry of home affairs, puts part of the blame for the faltering peace process on "foreign actors":
katika makala yenye kichwa cha habari, uzinifu wa kukumbuka, fathia absie anaandika kuhusu kushitakiwa kwa joshua asisam mlinzi wa amani katika somalia, kwa kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke wa kisomali:
in a post titled, affair to remember, fathia absie writes about the conviction of joshua asisa, a peace-keeper in somalia, for engaging in an affair with a young somali woman:
iran inasema kwamba imepanga mazungumzo kuhusu mpango wa amani wa kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe vya nchini syria, hata hivyo hakuna uwakilishi kutoka upande wa waasi utakaokuwepo kwenye mazungumzo hayo kwa sababu ya uhusiano wa karibu kati ya tehran na utawala wa bashar assad, rais wa syria.
iran says it has planned talks on a peace plan to end syria's civil war, but no rebel factions will attend because of tehran's close bonds with bashar assad's regime.
agizo la kukamatwa linayotolewa na icc katika mazingira mapya litakuwa na uzito, hivyo kutolewa kwake kutakuwa na manufaa kama zana ya kumshinikiza omar al-bashir kutengeneza mazingira yatakayoleta amani katika darfur na kutekeleza mkataba wa amani sudani ya kusini, cpa.
an icc arrest warrant issued within this new context will now have more weight, and hence its potential issuance will probably be more useful as a tool for pressuring omar al-bashir to act in favor of peace in darfur and implementing the cpa.
les cercles nationaux de réflexion sur la jeunesse (cnrj) ni shirika lisilo la kiserikali mjini bangui , jamhuri ya afrika ya kati, linalojibidisha katika kuimarisha msingi wa amani ya kudumu nchini humo kwa kushirikiana na chuo kikuu cha bangui.
les cercles nationaux de réflexion sur la jeunesse (cnrj) is an ngo in bangui, car that strives to build the foundation for sustainable peace in the country in partnership with the university of bangui.
bila ya kujali watu wengi wanasema nini, kauli za marekani ya uanaharakati wa maendeleo ziko maili nyingi mbele ya matendo (angalia mahubiri ya king “waraka wa paulo kwa wakristu wa marekani”) na utaona kuwa harakati za kufikia malengo pole pole siyo jibu.
regardless of what the majority of people say, progressive american rhetoric remains miles ahead of its deeds (see king’s brilliant sermon “paul’s letter to american christians”) and gradualism is not the answer.
yeye ndiye mwenyezi mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa yeye tu. mfalme, mtakatifu, mwenye salama, mtoaji wa amani, mwenye kuyaendesha mwenyewe mambo yake, mwenye nguvu, anaye fanya analo litaka, mkubwa, ametakasika mwenyezi mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.
he is allah—there is no god except him—the sovereign, the all-holy, the all-benign, the securer, the all-conserver, the all-mighty, the all-compeller, and the all-magnanimous. clear is allah of any partners that they may ascribe [to him]!