전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
tumaini langu pekee ni kwamba tunaweza kuwa imara kiasi cha kutoa majibu yaliyo kinyume na yale yaliyotarajiwa na wahalifu wa mashambulizi haya.
mon seul espoir est que nous soyons suffisamment forts pour proposer une réponse opposée à ce que ces criminels espèrent.
ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la israeli."
voilà pourquoi j`ai demandé à vous voir et à vous parler; car c`est à cause de l`espérance d`israël que je porte cette chaîne.
tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
cette espérance, nous la possédons comme une ancre de l`âme, sûre et solide; elle pénètre au delà du voile,
stephen, akiandika kwenye tovuti ya irreverence, alimuita tshabalala-msimang kama aibu ya taifa na papo hapo akimwita hogan kama tumaini lililorejea.
stephen, sur le blog irreverence , décrit tshabalala-msimang comme une plaie nationale et hogan comme une lueur d'espoir.
maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona?
car c`est en espérance que nous sommes sauvés. or, l`espérance qu`on voit n`est plus espérance: ce qu`on voit, peut-on l`espérer encore?
rouhani aliahidi kuleta serikali “yenye tumaini na iliyo makini” na hivyo, maelfu ya watu wa iran walisherehekea ushindi wake wakitegemea mustakabali mzuri wa maisha ya baadae.
le candidat rouhani a promis un gouvernement de “espoir et prudence”. des milliers d'iraniens ont celebré sa victoire avec l'espoir d'un futur meilleur
mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia habari njema. mimi paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo habari njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
si du moins vous demeurez fondés et inébranlables dans la foi, sans vous détourner de l`espérance de l`Évangile que vous avez entendu, qui a été prêché à toute créature sous le ciel, et dont moi paul, j`ai été fait ministre.