전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
meanwhile the safety of athletes and visitors at the 2010 commonwealth games in delhi in october is an ongoing issue that could erupt at any time.
wakati huo huo usalama wa wanamichezo na wageni kwenye michezo ya jumuiya ya madola mwezi oktoba 2010 ni suala linaloendelea ambalo linaweza kulipuka wakati wowote.
although i don't subscribe to the summary executions and despotic policies of baba jammeh, i support his withdrawal from the commonwealth.
ingawa siungi mkono vitendo vya mauaji na sera mbovu za baba jammeh, ninaunga mkono kujitoa kwake kutoka jumuiya ya madola.
in 2003, zimbabwe under mugabe withdraw from the commonwealth for reasons best known to them but smallest country in the mainland african should take a different take and approached.
mwaka 2003, zimbabwe chini ya mugabe ilijitoa kwneye jumuiya hiyo kwa sababu wanazozijua wao lakini nchi ndogo kuliko zote barani afrika ingechukua hatua kwa mwelekeo tofauti.
while the discussion on the jammeh’s latest diplomatic rumbling continues, it remains unclear what the poorly impoverished nation will gain by quitting the commonwealth.
wakati majadiliano juu ya mahusiano duni ya jammeh kidiplomasia yakiendelea, bado si bayana kile ambacho nchi hiyo masikini sana itakifaidi kwa kujitoa kwenye jumuiya ya madola.
gambia has and continued to benefit from commonwealth in diverse areas including education/scholarship, sports and most recently the commonwealth proposed national human rights commission.
gambia imekuwa na inaendela kufaidika na jumuiya ya mdola katika maeneo mengi ikiwa ni pamoja na elimu/ufadhili, michezo na hivi karibuni jumuiya hiyo ilipendekeza kuundwa kwa tume ya taifa ya haki za binadamu.
today, ever country in the world will carry this withdrawal news and every commonwealth member state, including the us, will have every lingering doubt about our claims, confirmed.
leo, kila nchi duniani itajua habari hizi za kujitoa na kila nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, ikiwa ni pamoja na marekani, itathibitishiwa wasiwasi wowote kuhusiana na madai yetu.
that at that time ye were without christ, being aliens from the commonwealth of israel, and strangers from the covenants of promise, having no hope, and without god in the world:
wakati ule ninyi mlikuwa bila kristo; mlikuwa nje ya jamii ya israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. mlikuwa bila matumaini mungu hapa duniani.
the first president of uganda, dr. milton obote, was ousted in a manner similar to niyombare's attempt, while delivering a speech at a commonwealth meeting in singapore in 1971.
rais wa kwanza wa uganda, dk. milton obote, aling'olewa kwa namna inayofanana na ile iliyotumiwa na niyombare, wakati akitoa hotuba kwenye mkutano wa commonwealth nchini singapore mwaka 1971.
a statement released on wednesday, 2 october 2013 stated that "the government has withdrawn its membership of the british commonwealth and decided that the gambia will never be a member of any neo-colonial institution and will never be a party to any institution that represents an extension of colonialism."
tamko lililotolewa jumatano, oktoba 2, 2013 limesema kwamba "serikali imesitisha uanachama wake wa jumuiya ya madola na kuamua kwamba gambia kamwe haitakuwa mwanachama wa taasisi yoyote ya ukoloni mambo-leo na kamwe haitakuwa sehemu ya taaisis yoyote inayotanua ukoloni."