전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
haji, who has run on opposition tickets in tanzanian presidential elections in the past, was minister of infrastructure and communications until lowassa defected.
haji, ambaye katika chaguzi za miaka kadhaa iliyopita amekuwa akigombea kwenye nafasi za kitaifa kwa tiketi ya vyama vya upinzani, alikuwa waziri wa uchukuzi na mawasiliano hadi kipindi lowassa anaihama ccm.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
lowassa defected in late july after he was eliminated from the list of presidential aspirants for the ruling party chama cha mapinduzi (ccm).
lowassa alikihama chama tawala mapema mwisho wa mwezi julai mara baada ya kuenguliwa kwenye orodha ya wawania kiti cha urais kupitia chama tawala chama cha mapinduzi (ccm).
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질:
tanzania's october 25 general election will be the most tightly contested election in the country's history after hugely popular former prime minister, edward lowassa, defected from the ruling party to join the main opposition bloc.
uchaguzi mkuu wa octoba 25 nchini tanzania utakuwa na ushindani mkali kuliko uchaguzi mwingine wowote uliowahi kufanyika katika historia ya nchi hiyo baada ya waziri mkuu mstaafu na mwenye umaarufu mkubwa, edward lowassa kuachana na chama tawala na kujiunga na umoja wa vyama vya upinzani.
마지막 업데이트: 2016-02-24
사용 빈도: 1
품질: