전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
questi hanno un unico intento: consegnare la loro forza e il loro potere alla bestia
shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
e che nessuno potesse comprare o vendere senza avere tale marchio, cioè il nome della bestia o il numero del suo nome
akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
alla bestia fu data una bocca per proferire parole d'orgoglio e bestemmie, con il potere di agire per quarantadue mesi
kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
poi dalla bocca del drago e dalla bocca della bestia e dalla bocca del falso profeta vidi uscire tre spiriti immondi, simili a rane
kisha nikaona pepo wabaya watatu walio kama vyura, wakitoka kinywani mwa yule joka, kinywani mwa yule mnyama, na kinywani mwa yule nabii wa uongo.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
dio infatti ha messo loro in cuore di realizzare il suo disegno e di accordarsi per affidare il loro regno alla bestia, finché si realizzino le parole di dio
maana mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la mungu litakapotimia.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
e quando poi avranno compiuto la loro testimonianza, la bestia che sale dall'abisso farà guerra contro di loro, li vincerà e li ucciderà
lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
qui sta la sapienza. chi ha intelligenza calcoli il numero della bestia: essa rappresenta un nome d'uomo. e tal cifra è seicentosessantasei
hapa ni lazima kutumia ujasiri! mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
quando poi decidemmo che morisse, fu solo la “bestia della terra” che li avvertì della sua morte, rosicchiando il suo bastone.
na tulipo mhukumia kufa, hapana aliye wajuulisha kufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula fimbo yake.
마지막 업데이트: 2014-07-03
사용 빈도: 1
품질:
l'angelo mi trasportò in spirito nel deserto. là vidi una donna seduta sopra una bestia scarlatta, coperta di nomi blasfemi, con sette teste e dieci corna
kisha, roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
e gli uomini adorarono il drago perché aveva dato il potere alla bestia e adorarono la bestia dicendo: «chi è simile alla bestia e chi può combattere con essa?»
watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "nani aliye kama huyu mnyama? ni nani awezaye kupigana naye?"
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
경고: 보이지 않는 HTML 형식이 포함되어 있습니다
e il diavolo, che li aveva sedotti, fu gettato nello stagno di fuoco e zolfo, dove sono anche la bestia e il falso profeta: saranno tormentati giorno e notte per i secoli dei secoli
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
poi vidi alcuni troni e a quelli che vi si sedettero fu dato il potere di giudicare. vidi anche le anime dei decapitati a causa della testimonianza di gesù e della parola di dio, e quanti non avevano adorato la bestia e la sua statua e non ne avevano ricevuto il marchio sulla fronte e sulla mano. essi ripresero vita e regnarono con cristo per mille anni
kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza yesu na kwa sababu ya neno la mungu. hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. walipata tena uhai, wakatawala pamoja na kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
마지막 업데이트: 2012-05-06
사용 빈도: 1
품질:
i wish you all the best
tamu la kilala heri rafiki
마지막 업데이트: 2020-12-13
사용 빈도: 1
품질:
추천인: