전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
giuda dunque, preso un distaccamento di soldati e delle guardie fornite dai sommi sacerdoti e dai farisei, si recò là con lanterne, torce e armi
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
giuda, servo di gesù cristo, fratello di giacomo, agli eletti che vivono nell'amore di dio padre e sono stati preservati per gesù cristo
mimi yuda, mtumishi wa yesu kristo, ndugu yake yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na mungu na ambao mnaishi katika upendo wa mungu baba, na katika ulinzi wa yesu kristo.
allora giuda, il traditore, vedendo che gesù era stato condannato, si pentì e riportò le trenta monete d'argento ai sommi sacerdoti e agli anzian
hapo, yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
e subito, mentre ancora parlava, arrivò giuda, uno dei dodici, e con lui una folla con spade e bastoni mandata dai sommi sacerdoti, dagli scribi e dagli anziani
yesu alipokuwa bado anasema, yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee.
allora gli apostoli, gli anziani e tutta la chiesa decisero di eleggere alcuni di loro e di inviarli ad antiochia insieme a paolo e barnaba: giuda chiamato barsabba e sila, uomini tenuti in grande considerazione tra i fratelli
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
dopo di lui sorse giuda il galileo, al tempo del censimento, e indusse molta gente a seguirlo, ma anch'egli perì e quanti s'erano lasciati persuadere da lui furono dispersi
tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea yuda wa galilaya. huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika.