Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
- keeping the government will raise suspicions about the fairness of the elections and the referendum on the constitution
-kuendelea na serikali hii kutaleta wasiwasi kuhusu kutendeka haki wakati wa uchaguzi na kura ya maoni kuhusu katiba
from saudi arabia, omar alattas asks: when will the sudan referendum results be announced?
kutoka saudi arabia, omar alattas anauliza: متي ستظهر نتايج انتخابات السودان #sudan matokeo ya kura ya maoni ya sudani yatatangazwa lini?
south sudan became independent on july 9, 2011 after a referendum that was held on possible independence from sudan was approved.
sudan kusini ilipata uhuru julai 9, 2011 baada ya kura ya maoni ambayo ilifanyika siku ya uhuru kutoka sudan kupitishwa.
a referendum vote was scheduled for the same day, which was one that was opposed by the supreme court, the armed forces and the honduran legislature.
kura ya maoni ilikuwa imepangwa kupigwa siku hiyo, kura hiyo ilikuwa inapingwa na mahakama ya juu, na majeshi ya nchi pamoja na baraza la wawakilishi.
the promised landmark difference with the previous processes was to be that the draft constitution was going to be simultaneously released to both the government and the public and a referendum held.
pendekezo hilo ambalo ni la pekee lilikuwa kwamba rasimu hiyo ya katiba ingetolewa kwa wakati mmoja kwenda serikalini na kwa wananchi na wakati huo huo kura ya maoni ingefanyika.
is this being done for the love of sudan or as a blessing for the separation? this post is part of our special coverage south sudan referendum 2011.
je, hili linafanyika kwa kuipenda sudani ama ni baraka kwa ajili ya kujitenga
voting started with a song and prayer in the us (southern sudanese are taking part in the referendum in 8 countries around the world):
upigaji kura na nyimbo pamoja na maombi huko marekani (wasudani kusini wanashiriki katika kura ya maoni katika nchi 8 duniani):
and back in saudi arabia, bandar bin naif, wonders: a satellite has been launched specifically to monitor the referendum and developments in sudan.
na huko huko saudi arabia, bandar bin naif, anajiuliza: #sudan قمر صناعي أنشىئ خصيصا لمراقبه الاستفتاء والأحداث في السودان، هل هو حبا في السودان أم مباركة للإنفصال http://bit.ly/eifsot chombo cha kurekodi mawasiliano angani (setilaiti) kilirushwa mahususi kwa ajili ya kufuatilia kura ya maoni na maendeleo ya nchi ya sudani.