A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
cuando dijo esto, se produjo disensión entre los fariseos y los saduceos. la asamblea se dividió
baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya mafarisayo na masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
al día siguiente, esto es, después de la preparación, los principales sacerdotes y los fariseos se reunieron ante pilato
kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya maandalio, makuhani wakuu na mafarisayo walimwendea pilato,
cuando salió de allí, los escribas y los fariseos comenzaron a presionarle mucho y a provocarle a que hablase de muchas cosas
alipokuwa akitoka pale, wale mafarisayo na walimu wa sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
aconteció un sábado, cuando él entró en casa de uno de los principales de los fariseos para comer pan, que ellos le observaban cuidadosamente
siku moja ya sabato, yesu alikwenda kula chakula nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa mafarisayo; watu waliokuwapo hapo wakawa wanamchunguza.
en la misma hora llegaron ciertos fariseos y le dijeron: --sal y vete de aquí, porque herodes te quiere matar
wakati huohuo, mafarisayo na watu wengine walimwendea yesu wakamwambia, "ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana herode anataka kukuua."
entonces judas, tomando una compañía de soldados romanos y guardias de los principales sacerdotes y de los fariseos, fue allí con antorchas, lámparas y armas
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
"¡ay de vosotros, escribas y fariseos, hipócritas! porque edificáis los sepulcros de los profetas y adornáis los monumentos de los justos
"ole wenu walimu wa sheria na mafarisayo, wanafiki! mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema.
entonces el señor le dijo: --vosotros los fariseos limpiáis el exterior de la copa o del plato, pero vuestro interior está lleno de rapiña y de maldad
bwana akamwambia, "ninyi mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
entonces ellos le dijeron: --los discípulos de juan ayunan muchas veces y hacen oraciones, igual que los de los fariseos, pero los tuyos comen y beben
watu wengine wakamwambia yesu, "wafuasi wa yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa mafarisayo hufanya vivyo hivyo. lakini wafuasi wako hula na kunywa."