A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
the attack took place around midnight in a restaurant called la terrasse in downtown bamako and a dozen people are seriously injured.
shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took terrasse kwenye mitaa ya bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya.
by 28 february, outside mainland china, more than a dozen deaths each were recorded in iran, south korea, and italy.
kufikia 28 februari, nje ya uchina bara, zaidi ya vifo kadhaa zilirekodiwa irani, korea kusini, na italia.
last week, members killed over a dozen students who were travelling to write their pre-university entrance examination in borno state.
juma lililopita, kundi hili liliua wanafunzi zaidi ya 12 waliokuwa wakisafiri kwenda kufanya mtihani wa awali kwa ajili ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu katika jimbo la borno.
@acarvin: surreal footage on aje now - over a dozen guys throwing rocks, each lit up by a green laser to be target by opposing side
@acarvin: video ya kusikitisha inaonyeshwa kwenye kituo cha al jazeera hivi sasa -ikiwaanesha jamaa kadhaa wakirusha mawe, kila mmoja akimwulika kwa toshi ya kijani ili kupata shabaha kwa wapinzani wao