A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
each sabbath, their fish came swimming towards the shore, but on other days they did not come to them.
samaki walikuwa wakiwajia juu juu siku ya mapumziko yao, na siku zisio kuwa za kupumzika hawakuwa wakiwajia.
"cast him into the ark, and cast him into the river, and let the river throw him up on the shore.
ya kuwa mtie katika kisanduku, na kisha kitie mtoni, na mto utamfikisha ufukweni.
had his lord's grace not been bestowed upon him, he would have been cast away in disgrace upon that desolate shore.
kama isingeli mfikia neema kutoka kwa mola wake mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
had it not been for a blessing that came to his rescue from his lord, he would surely have been cast on the bare shore, being blameworthy.
kama isingeli mfikia neema kutoka kwa mola wake mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
have you then become so sure that he will not cleave the earth and sink you in it by the shore, or send a gale against you, when you will not find any protector.
mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la kokoto? kisha msipate wa kumtegemea.
and great multitudes were gathered together unto him, so that he went into a ship, and sat; and the whole multitude stood on the shore.
makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata yesu akapanda mashua, akaketi. hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa,
but after he has safely brought them to the shore, there are some who vacillate between doubt and belief, but no one rejects our signs except those who are perverse and disbelieve.
lakini anapo waokoa wakafika nchi kavu, wapo baadhi yao huenda mwendo wa sawa. wala hazikanushi ishara zetu ila aliye khaini kafiri mkubwa.
and when they had taken up the anchors, they committed themselves unto the sea, and loosed the rudder bands, and hoised up the mainsail to the wind, and made toward shore.
hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
`put him in the chest; then cast him into the river. the river will wash him to shore, where an enemy of mine and an enemy of his will pick him up.
ya kuwa mtie katika kisanduku, na kisha kitie mtoni, na mto utamfikisha ufukweni. atamchukua adui yangu naye ni adui yake.