Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
accogliete tra voi chi è debole nella fede, senza discuterne le esitazioni
mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
vi raccomando, fratelli, accogliete questa parola di esortazione; proprio per questo molto brevemente vi ho scritto
basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. hii ni barua fupi tu ambayo nimewaandikieni.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
perciò, deposta ogni impurità e ogni resto di malizia, accogliete con docilità la parola che è stata seminata in voi e che può salvare le vostre anime
kwa hiyo, tupilieni mbali mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
in verità, in verità ti dico, noi parliamo di quel che sappiamo e testimoniamo quel che abbiamo veduto; ma voi non accogliete la nostra testimonianza
kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
accogliete l’uomo che ha debolezze nella sua fede, ma non per prendere decisioni su intime opinioni. un uomo ha fede di mangiare di tutto, ma chi è debole mangia cibi vegetali. colui che mangia non disprezzi colui che non mangia, e colui che non mangia non giudichi colui che mangia, poiché dio l’ha accolto. chi sei tu da giudicare il domestico di un altro? egli sta in piedi o cade al suo proprio signore. in realtà, sarà fatto stare in piedi, poiché geova può farlo stare in piedi.
mkaribisheni mtu aliye na udhaifu katika imani yake, lakini msifanye maamuzi juu ya maswali ya ndani. mtu mmoja ana imani ya kula kila kitu, lakini mtu aliye dhaifu hula mboga za majani. yeye anayekula asimdharau yeye asiyekula, na yeye asiyekula asimhukumu yeye anayekula, kwa maana mungu amemkaribisha huyo. wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine? kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka. kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana yehova anaweza kumsimamisha.