Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
stringi la mano sotto l'ascella: ne uscirà bianca, senza alcun male.
na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote.
Última atualização: 2014-07-03
Frequência de uso: 1
Qualidade:
io sono la porta: se uno entra attraverso di me, sarà salvo; entrerà e uscirà e troverà pascolo
mimi ni mlango. anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
se qualcuno pensasse di far loro del male, uscirà dalla loro bocca un fuoco che divorerà i loro nemici. così deve perire chiunque pensi di far loro del male
kama mtu akijaribu kuwadhuru, moto hutoka kinywani mwao na kuwaangamiza adui zao; na kila mtu atakayejaribu kuwadhuru atakufa namna hiyo.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
e uscirà per sedurre le nazioni ai quattro punti della terra, gog e magòg, per adunarli per la guerra: il loro numero sarà come la sabbia del mare
basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani gogu na magogu. shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
e tu, betlemme, terra di giuda, non sei davvero il più piccolo capoluogo di giuda: da te uscirà infatti un capo che pascerà il mio popolo, israele
ewe bethlehemu katika nchi ya yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa yuda; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, israeli."
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
il vincitore lo porrò come una colonna nel tempio del mio dio e non ne uscirà mai più. inciderò su di lui il nome del mio dio e il nome della città del mio dio, della nuova gerusalemme che discende dal cielo, da presso il mio dio, insieme con il mio nome nuovo
"wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika hekalu la mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. pia nitaandika juu yao jina la mungu wangu na jina la mji wa mungu wangu, yaani yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa mungu wangu. tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
poiché non voglio, fratelli, che ignoriate questo sacro segreto, affinché non siate discreti ai vostri occhi: che un intorpidimento della sensibilità è avvenuto in parte a israele finché non sia entrato il numero completo* delle persone delle nazioni, e in questa maniera tutto israele sarà salvato. come è scritto: “il liberatore uscirà da sion e allontanerà da giacobbe le pratiche empie. e questo è da parte mia il patto con loro, quando toglierò i loro peccati”. certo, in riferimento alla buona notizia essi sono nemici a causa vostra, ma in riferimento all’elezione [di dio]* sono diletti a causa dei loro antenati. poiché i doni e la chiamata di dio non sono cose di cui egli si rammarichi. poiché come voi una volta foste disubbidienti a dio, ma ora vi è stata mostrata misericordia a causa della loro disubbidienza, così anche questi sono stati ora disubbidienti risultandone a voi misericordia, affinché anche a loro sia ora mostrata misericordia. poiché dio li ha rinchiusi tutti insieme nella disubbidienza, per mostrare a tutti loro misericordia.
kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu, kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi za israeli mpaka hesabu kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia, na kwa namna hii israeli wote wataokolewa. kama ilivyoandikwa: “mkombozi atatoka katika sayuni na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa mungu kutoka katika yakobo. na hili ndilo agano kwa upande wangu pamoja nao, nitakapoondolea mbali dhambi zao.” ni kweli, kuhusiana na habari njema wao ni adui kwa ajili yenu, lakini kuhusiana na kuchagua kwa mungu wao ni wapendwa kwa ajili ya mababu zao. kwa maana zawadi na mwito wa mungu si mambo ambayo yeye atajutia. kwa maana kama vile ninyi wakati mmoja mlivyokuwa hamtii mungu lakini sasa mmeonyeshwa rehema kwa sababu ya kutotii kwao, ndivyo pia hawa sasa wamekuwa wasiotii ikitokeza rehema kwenu, ili wao wenyewe pia waonyeshwe rehema sasa. kwa maana mungu amewafunga wote pamoja katika kutotii, ili awaonyeshe wao wote rehema.
Última atualização: 2013-03-07
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Referência: