A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.
et ascendens in naviculam transfretavit et venit in civitatem sua
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.
at ubi venit fides iam non sumus sub pedagog
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika."
quaeretis me et non invenietis et ubi sum ego vos non potestis venir
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
Siku tatu baada ya kufika mkoani, Festo alitoka Kaisarea, akaenda Yerusalemu.
Festus ergo cum venisset in provinciam post triduum ascendit Hierosolymam a Caesare
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje arusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.
et misit servos suos vocare invitatos ad nuptias et nolebant venir
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Huko tuliwakuta ndugu kadhaa ambao walituomba tukae nao kwa juma moja. Hivi ndivyo tulivyopata kufika Roma.
ubi inventis fratribus rogati sumus manere apud eos dies septem et sic venimus Roma
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Lakini alipokuwa njiani karibu kufika Damasko, ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote.
et cum iter faceret contigit ut adpropinquaret Damasco et subito circumfulsit eum lux de cael
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
tunc ergo introivit et ille discipulus qui venerat primus ad monumentum et vidit et credidi
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
currebant autem duo simul et ille alius discipulus praecucurrit citius Petro et venit primus ad monumentu
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
et factum est cum adpropinquasset ad Bethfage et Bethania ad montem qui vocatur Oliveti misit duos discipulos suo
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"
quis est hic sermo quem dixit quaeretis me et non invenietis et ubi sum ego non potestis venir
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
et cum adpropinquassent Hierosolymis et venissent Bethfage ad montem Oliveti tunc Iesus misit duos discipulo
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya Ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote.
et praedicabitur hoc evangelium regni in universo orbe in testimonium omnibus gentibus et tunc veniet consummati
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.
nos autem ascendentes navem enavigavimus in Asson inde suscepturi Paulum sic enim disposuerat ipse per terram iter facturu
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
hic cum audisset quia Iesus adveniret a Iudaea in Galilaeam abiit ad eum et rogabat eum ut descenderet et sanaret filium eius incipiebat enim mor
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!"
tamen quia molesta est mihi haec vidua vindicabo illam ne in novissimo veniens suggillet m
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
Hata baada ya kufika Makedonia hatukuweza kupumzika. Kila upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani hofu.
nam et cum venissemus Macedoniam nullam requiem habuit caro nostra sed omnem tribulationem passi foris pugnae intus timore
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.
proposuerat enim Paulus transnavigare Ephesum ne qua mora illi fieret in Asia festinabat enim si possibile sibi esset ut diem pentecosten faceret Hierosolymi
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Kesho yake, hao watu watatu wakiwa bado safarini, lakini karibu kufika Yopa, Petro alipanda juu ya paa la nyumba yapata saa sita mchana ili kusali.
postera autem die iter illis facientibus et adpropinquantibus civitati ascendit Petrus in superiora ut oraret circa horam sexta
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.
sed ante passi et contumeliis affecti sicut scitis in Philippis fiduciam habuimus in Deo nostro loqui ad vos evangelium Dei in multa sollicitudin
Última atualização: 2012-05-04
Frequência de uso: 1
Qualidade: