A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana, kama kwamba anapanda mbinguni.
und wen er in die irre gehen lassen will, dem macht er die brust eng und bedrängt, so als ob er in den himmel hochsteigen sollte.
basi yule ambaye mwenyezi mungu anataka kumhidi humfungulia kifua chake kwa uislamu. na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana, kama kwamba anapanda mbinguni.
und wen allah rechtleiten will, dessen brust weitet er für den islam, und wen er abirren lassen will, dessen brust macht er eng, zusammengepreßt, als ob er in den himmel aufsteigen würde.
je! yule ambaye mwenyezi mungu amemfungulia kifua chake kwa uislamu, na akawa yuko kwenye nuru itokayo kwa mola wake mlezi (ni sawa na mwenye moyo mgumu?)
ist denn der, dem allah die brust für den islam geweitet hat, so daß er ein licht von seinem herrn empfängt (einem ungläubigen gleich)?
basi labda utaacha baadhi ya yale yaliyo funuliwa kwako, na kifua kitaona dhiki kwa hayo, kwa sababu wanasema: mbona hakuteremshiwa khazina, au wakaja naye malaika?
vielleicht möchtest du einen teil von dem, was dir (als offenbarung) eingegeben wird, auslassen und deine brust ist dadurch beklommen, und dies, weil sie sagen: "wäre doch ein schatz auf ihn herabgesandt worden oder ein engel mit ihm gekommen!"
lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: ee mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.
und der zöllner stand von ferne, wollte auch seine augen nicht aufheben gen himmel, sondern schlug an seine brust und sprach: gott, sei mir sünder gnädig!
anaye mkataa mwenyezi mungu baada ya kuamini kwake - isipo kuwa aliye lazimishwa na hali ya kuwa moyo wake umetua juu ya imani, lakini aliye kifungulia kifua chake kukataa - basi hao ghadhabu ya mwenyezi mungu ipo juu yao, na wao watapata adhabu kubwa.
(lügen erfindet ebenfalls), wer allah gegenüber kufr betrieb, nachdem er den iman bekundete - außer dem, der (dazu) gezwungen wird, während sein herz voller iman ist. jedoch wer die brust dem kufr öffnet, auf diesem lastet zorn von allah. und für sie ist eine überharte peinigung bestimmt.