A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa mungu katika paji la uso.
y se les dijo que no hiciesen daño a la hierba de la tierra ni a ninguna cosa verde, ni a ningún árbol, sino solamente a los hombres que no tienen el sello de dios en sus frentes
juu ya msingi huo mtu anaweza kujenga kwa dhahabu, fedha au mawe ya thamani; anaweza kutumia miti, majani au nyasi.
si alguien edifica sobre este fundamento con oro, plata, piedras preciosas, madera, heno u hojarasca
mpaka sasa, maraia wamekuwa nyasi zinazoumia fahali wawili wapiganapo; wamevamiwa bila sababu au kufungiwa kwenye nyumba zao mjini juba bila chakula au maji.
hasta ahora, los civiles se han convertido en los perdedores esperados atrapados en el fuego cruzado, cazados sin razón o encerrados en sus hogares sin comida ni agua en juba.
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
porque: toda carne es como la hierba, y toda su gloria es como la flor de la hierba. la hierba se seca, y la flor se cae
yesu akasema, "waketisheni watu." palikuwa na nyasi tele mahali hapo. basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano.
entonces jesús dijo: --haced recostar a la gente. había mucha hierba en aquel lugar. se recostaron, pues, como cinco mil hombres
akawaamuru watu waketi katika nyasi. kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu. halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
luego mandó que la gente se recostara sobre la hierba. tomó los cinco panes y los dos pescados, y alzando los ojos al cielo, los bendijo. después de partirlos, dio los panes a sus discípulos, y ellos a la gente