A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la yuda ambalo mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
on ju teada, et meie issand on tärganud juudast, kelle suguharule mooses ei ole midagi kõnelnud preestriametist.
watu wa kila kabila, lugha, taifa na rangi wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu zizikwe.
ja rahvaste ja suguharude ja keelte ja rahvahõimude seast nähakse nende kehi kolm ja pool päeva ja nende kehi ei lasta hauda panna.
hapo wakapendelea kuwa na mfalme, na mungu akawapa saulo, mtoto wa kishi wa kabila la benyamini, awe mfalme wao kwa muda wa miaka arobaini.
ja selle järele nad palusid enestele kuningat. ja jumal andis neile sauli, kiisi poja, benjamini suguharust mehe. nii möödus nelikümmend aastat.
kabila la simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la lawi, kumi na mbili elfu, kabila la isakari, kumi na mbili elfu;
siimeoni suguharust kaksteist tuhat; leevi suguharust kaksteist tuhat; issaskari suguharust kaksteist tuhat;
kabila la zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la benyamini, kumi na mbili elfu.
sebuloni suguharust kaksteist tuhat; joosepi suguharust kaksteist tuhat; benjamini suguharust kaksteist tuhat pitseriga märgitut.
lakini mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "siku zinakuja, asema bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa israeli na kabila la yuda.
sest neid laites ütleb prohvet neile: „vaata, päevad tulevad, ütleb issand, mil ma teen iisraeli sooga ja juuda sooga uue lepingu:
basi, nauliza: je, mungu amewakataa watu wake? hata kidogo! mini binafsi ni mwisraeli mzawa wa abrahamu, wa kabila la benyamini.
siis ma nüüd ütlen: kas vahest jumal on oma rahva hüljanud? mitte sugugi! sest minagi olen iisraeli mees, aabrahami soost, benjamini suguharust.
kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, "usilie! tazama! simba wa kabila la yuda, mjukuu maarufu wa daudi, ameshinda. yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu."
ja üks vanemaist ütles mulle: „Ära nuta! vaata, lõukoer juuda suguharust, taaveti juur, on võitnud nii, et tema võib avada raamatu ja lahti võtta selle seitse pitserit!”