A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
mkiwa na sifa hizo zote kwa wingi, zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua bwana wetu yesu kristo.
כי אם אלה תמצאנה ותרבינה בכם לא תתנה אתכם להיות בטלים ובלא עשות פרי לדעת אדנינו ישוע המשיח׃
kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za mungu.
איש איש כמתן החסד אשר קבל תעזרו איש לרעהו כגזברים ממנים על חסדי אלהים הרבים׃
muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.
כאשר גם אנכי מבקש להיות רצוי לכל בכל ולא אבקש תועלת עצמי כי אם של הרבים למען יושעו׃
kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. lakini kwa muda mrefu sasa hakimu wao yu tayari, na mwangamizi wao yu macho!
ובדברי בדוי יעשו אתכם למחסר להם למען בצע בצע אשר משפטם מעולם לא יתמהמה ושברם לא ינום׃
nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa ninyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu ninyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida.
והנה בצותי את זאת לא אוכל לשבח אתכם על אשר תקהלו יחד לא להועיל כי אם לרעה׃
lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele.
אכן עתה בהיותכם משחררים מידי החטא ומשעבדים לאלהים יש לכם פריכם לקדשה ואחריתו חיי עולם׃
mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. je, mtanipenda kidogo ati kwa kuwa mimi nawapenda ninyi mno?
אבל אני בכל חפץ לבבי אפזר וגם אפזר בעד נפשותיכם אף אם תחת אהבתי לכם היתרה אתם תמעיטו את אהבתכם אלי׃
kwa sababu wanaikataa habari njema, wayahudi wamekuwa adui wa mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa mungu kwa sababu ya baba zao.
הן לפי הבשורה שנואים הם למענכם אך לפי הבחירה חביבים הם למען האבות׃
mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni habari njema kwa nguvu ya roho mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
ונגלה להם כי לא לפנשם כי אם לנו שרתו בדברים ההם אשר הגד לכם עתה על פי המבשרים אתכם ברוח הקדש השלוח משמים דברים אשר מלאכי אלהים חמדו להשקיף אל תוכם׃