Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
@shopetie_101 alifikiri janet kumrithi rais ni dalili za ulafi:
@shopetie_101 thought janet succeeding the president is a sign of greed:
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kundi la mawaziri lilijitokeza katika mkutano na waandishi wa habari usiku wa ijumaa na kutangaza kuwa makamu wa rais banda hataweza kumrithi rais bingu wa mutharika.
a group of cabinet ministers appeared at a news conference on friday night to declare that vice-president joyce banda cannot succeed president bingu wa mutharika.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
hata hivyo, msemaji wa serikali anasema kwamba hataweza kumrithi mutharika kwa sababu (banda) si mwanachama wa chama tawala.
however, government spokesperson says that she cannot succeed mutharika because she is not a member of the ruling party.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
@shopetie_101rais wa uganda,yoweri museveni anatamani mkewe, janet museveni kumrithi...jamani watu weusi na ulafi!
@shopetie_101uganda president,yoweri museveni wants wife,janet museveni to succeed him..black pple n greed!
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kabla ya kushinda uchaguzi na kumrithi sata, lungu alifanya uchunguzi wa afya kwenye hospitali ya lusaka trust pamoja na hospitali ya kijeshi ya maina soko, zote zikiwa umbali mdogo tu kutoka yalipo makazi ya rais, ikulu, wilaya ya woodlands jijini lusaka.
just after winning the election to replace sata, lungu underwent medical tests at lusaka trust hospital and maina soko military hospital, both of which are within a short distance from the presidential palace in the woodlands district of the capital city.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
mona el tahawy hakupendezwea na jinsi wamisri walivyopamba moto na kuguswa juu ya bikira bandia pamoja na matatizo yote wamisri wanayoyakabili siku hizi – gharama za maisha zinazopanda, rais aliye madarakani kwa miaka 28 ambaye mwanawe anaelekea kumrithi, nk. – kelele zote za nini juu ya bikira, iwe ya kweli au ya bandia?
mona el tahawy did not like how egyptians were hot and bothered over fake hymenswith all the troubles egypt faces these days — spiralling cost of living, a president in power for 28 years whose son looks likely to succeed him, etc. — why all the fuss over hymens, real or fake?
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade: