A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. hawa hulisikia hilo neno lakini mara shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
道ばたに御言がまかれたとは、こういう人たちのことである。すなわち、御言を聞くと、すぐにサタンがきて、彼らの中にまかれた御言を、奪って行くのである。
na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia mtume kwamba: muabuduni mwenyezi mungu, na muepukeni shetani. basi kati yao wapo alio waongoa mwenyezi mungu.
本当にわれは,各々の民に一人の使徒を遺わして「アッラーに仕え,邪神を避けなさい。」と(命じた)。それでかれらの中には,アッラーの導かれた者もあり,また,迷誤が避けられない者もあった。それで地上を旅して,(真理を)拒否した者の最後がどんなものであったかを見るがいい。
sisi tulituma mitume kwa umati zilizo kuwa kabla yako, lakini shetani aliwapambia vitendo vyao. kwa hivyo leo yeye ndiye rafiki yao; nao watapata adhabu chungu.
誓って言うが,われはあなた以前にも,諸民族に(使徒たちを)遣わした。だが悪魔が(不義を教え)かれらの行いを正しいと思わせ,それで今日も,かれ(悪魔)がかれらの保護者である。かれらは痛ましい懲罰を受けるであろう。
kwa hakika minong'ono hiyo inatokana na shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru chochote ila kwa idhini ya mwenyezi mungu. na juu ya mwenyezi mungu tu ndio wategemee waumini.
秘密の相談は,悪魔による(示唆)だけで,信仰する者たちを悲嘆させるためのもの。だがアッラーの御許しがない限り,少しもかれらを害することは出来ない。それで信者たちに,アッラーを信じさせなさい。
lakini yesu akageuka, akamwambia petro, "ondoka mbele yangu shetani! wewe ni kikwazo kwangu. mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
イエスは振り向いて、ペテロに言われた、「サタンよ、引きさがれ。わたしの邪魔をする者だ。あなたは神のことを思わないで、人のことを思っている」。