A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
bet efezā nonāca kāds jūds, vārdā apolls, dzimis aleksandrietis, labs rakstu pazinējs un daiļrunīgs.
baada ya miezi mitatu tulianza tena safari yetu kwa meli moja ya aleksandria iitwayo "miungu pacha". meli hiyo ilikuwa imetia nanga kisiwani wakati wote wa baridi.
pēc trim mēnešiem mēs aizbraucām aleksandrijas kuģī, kas pārziemoja salā un kam bija kastora zīme.
lakini watu fulani wakatokea ili wabishane na stefano. baadhi ya watu hao walikuwa wa sunagogi moja lililoitwa "sunagogi la watu huru", nao walitoka kurene na aleksandria; wengine walitoka kilikia na asia.
tad cēlās daži no tā saucamās libertīņu un kirēniešu, un aleksandriešu sinagogas un no tiem, kas bija no kilikijas un Āzijas, un strīdējās ar stefanu;