A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
walimu wa sheria na mafarisayo walitaka kupata kisingizio cha kumshtaki yesu na hivyo wakawa wanangojea waone kama angemponya mtu siku ya sabato.
bet rakstu mācītāji un farizeji novēroja, vai viņš sabatā nedziedinās, lai rastu apsūdzību pret viņu.
baada ya siku ya sabato, maria magdalene, salome na maria mama yake yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa yesu.
un kad sabata diena bija pagājusi, marija magdalēna un marija, jēkaba māte, un salome pirka svaidāmās zāles, lai ietu un svaidītu jēzu.
au je, hamjasoma katika sheria kwamba kila siku ya sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
vai, atkal, jūs nelasījāt bauslībā, ka priesteri svētnīcā sabatā lauž sabata mieru un ir bezvainīgi?
siku nyingine ya sabato, yesu aliingia katika sunagogi, akafundisha. mle ndani mlikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
bet atkal citā sabatā notika, ka viņš iegāja sinagogā un mācīja. un tur bija cilvēks, kam labā roka bija sausa.
kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
tāpēc lai neviens jūs netiesā ēdiena vai dzēriena dēļ, vai sakarā ar svētkiem, jauno mēnesi vai sabatu.
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
bet vai nevajadzēja sabatā atraisīt no šīm saitēm šo Ābrahama meitu, kuru sātans bija saistījis, lūk, jau astoņpadsmit gadu?
lakini yesu akawaambia, "tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya sabato?
bet viņš sacīja tiem: kurš cilvēks no jums, kam viena avs un tā sabatā iekrīt bedrē, neņemtu un neizvilktu to?
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
un viņš nonāca nācaretē, kur bija uzaudzis, un pēc sava paraduma sabata dienā iegāja sinagogā; un viņš piecēlās lai lasītu.
kisha yesu akawaambia, "nawaulizeni, je, ni halali siku ya sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuyaangamiza?"
bet jēzus sacīja tiem: es jums jautāju: vai sabatā nākas labu vai ļaunu darīt, dvēseli glābt vai pazudināt?
kisha, akawauliza, "je, ni halali siku ya sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" lakini wao hawakusema neno.
un viņš sacīja tiem: vai sabatā pienākas labu vai ļaunu darīt, dvēseli glābt vai pazudināt? bet viņi klusēja.