Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
miaka minne baadae, ghasia zilizohusiana na bei ya mahindi ziliongezeka kiasi cha kusababisha jeshi kuingilia kati.
А в 1990 году волнения по поводу повышения цен даже привели к попытке государственного переворота.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
matetemeko ya ardhi kipimo cha 6.4 na 6.3 katika ukubwa, na kusababisha uharibifu mkubwa na mateso.
Сила толчков, оставивших за собой след разрушений и страданий, составила 6,4 и 6,3 балла соответственно.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.
Тогда был в узах некто , по имени Варавва, со своими сообщниками, которые во время мятежа сделали убийство.
Última atualização: 2012-05-06
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kwa mujibu wa taarifa za hivi karibuni kutoka weekly eleven, kumekuwepo na matetemeko mengine madogomadogo yaliyofuatia na kuripotiwa mashariki mwa jimbo la shan na kusababisha hofu miongoni wa wakazi wa maeneo hayo.
Как сообщает weekly eleven на территории неподалеку от провинции Шан было зафиксировано еще несколько толчков, которые вселили панику среди местных жителей.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kundi la isis, ambalo ni tawi la al qaeda limedhibiti sehemu kubwa ya syria na iraq, na kusababisha taharuki kubwa na kusababisha uharibifu mkubwa ndani ya kipindi cha miezi michache.
Исламское государство Ирака и Леванта (ИГИЛ), ответвление Аль-Каиды, за несколько месяцев установило контроль над крупными участками Сирии и Ирака, оставив за собой след ужаса и разрушения.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kura hiyo ya maoni ilipigwa vikali na vyama vya upinzani nchini humo na kusababisha vifo kadhaa katika maandamano yaliyoendelea kwenye baadhi ya mitaa ya makao makuu ya nchi hiyo, brazzaville, wakati wa juma la kuelekea kura hiyo iliyofanyika oktoba 25.
Эта идея была отвергнута оппозицией, что привело к гибели нескольких человек во время манифестаций на улицах столицы страны Браззавиля.
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
baada ya kusababisha mshangao kote barani afrika kwa matamshi aliyoyatoa mbele ya vyombo vya habari siku moja kablda, elysée ilisema "inalaani ghasia zozote na inaunga mkono uhuru wa kujieleza. anatoa mfano wa hotuba yake aliyoitoa jijini dakar mnamo novemba 29, 2014 alizungumzia matarajio yake kwa katiba zote kuheshimiwa na zoezi la kuwasikiliza wapiga kura kufanyika katika mazingira yenye uwazi wa kutosha."
В более позднем заявлении, после замечаний, сделанных накануне и разочаровавших Африку, президент «осуждает насилие и поддерживает свободу мнений. напоминает о своем выступлении в Дакаре 29 ноября 2014 года, где заявил, что конституцию необходимо уважать, а любые выборы должны проводиться в условиях абсолютной прозрачности».
Última atualização: 2016-02-24
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível