Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
baada ya barnaba na saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena yerusalemu wakamchukua yohane aitwaye pia marko.
a varnava i savle predavi pomoæ vratie se iz jerusalima u antiohiju, uzevi sa sobom jovana koji se zvae marko.
hivyo, tumeamua kwa pamoja kuwachagua watu kadhaa na kuwatuma kwenu pamoja na wapenzi wetu barnaba na paulo,
zato nadjosmo za dobro mi jednoduno sabrani izbrane ljude poslati vama s ljubaznim naim varnavom i pavlom,
barnaba na paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:
a kad èue apostoli, varnava i pavle, razdree haljine svoje, i skoèie medju narod vièuæi i govoreæi:
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
a pavle i varnava ivljahu u antiohiji i uèahu i propovedahu reè gospodnju s mnogima drugim.
paulo na barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo.
a kad izlaahu iz zbornice jevrejske, moljahu neznaboci da im se ove reèi u drugu subotu govore.
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
u ikoniji pak dogodi se da oni zajedno udjoe o zbornicu jevrejsku, i govorahu tako da verova veliko mnotvo jevreja i grka.
baada ya siku kadhaa, paulo alimwambia barnaba, "turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."
a posle nekoliko dana reèe pavle varnavi: hajde da se vratimo i da obidjemo braæu po svim gradovima po kojima propovedasmo reè gospodnju kako ive.
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
tada nadjoe za dobro apostoli i stareine sa svom crkvom da izberu izmedju sebe dvojicu i da polju u antiohiju s pavlom i varnavom, judu koji se zvae varsava, i silu, ljude znamenite medju braæom.
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").
a josija, prozvani od apostola varnava, koje znaèi sin utehe, levit rodom iz kipra,