Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
mkumbuke yesu kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa daudi, kama isemavyo habari njema ninayoihubiri.
opominji se gospoda isusa hrista koji usta iz mrtvih, od semena davidovog, po jevandjelju mom,
yesu akawajibu, "je, hamjasoma jinsi alivyofanya daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?
i odgovarajuæi isus reèe im: zar niste èitali ono to uèini david kad ogladne, on i koji behu s njim?
lakini kwa vile daudi alikuwa nabii, alijua kuwa mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.
prorok dakle buduæi, i znajuæi da mu se bog kletvom kle od roda bedara njegovih po telu podignuti hrista, i posaditi ga na prestolu njegovom,
watu wengi walimkemea ili anyamaze, lakini yeye akazidi kupaaza sauti, "mwana wa daudi, nihurumie!"
i preæahu mu mnogi da uæuti, a on jo vie vikae: sine davidov! pomiluj me!
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
tada podje i josif iz galileje, iz grada nazareta u judeju u grad davidov koji se zvae vitlejem, jer on bee iz doma i plemena davidovog,
"daudi mwenyewe anamwita kristo bwana. basi, kristo atakuwaje mwanae?" umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.
sam dakle david naziva ga gospodom, i otkuda mu je sin? i mnogi narod sluae ga s radoæu.
aliposikia kwamba ni yesu wa nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, "yesu, mwana wa daudi, nihurumie!"
i èuvi da je to isus nazareæanin stade vikati i govoriti: sine davidov, isuse! pomiluj me!
ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. lakini wao wakazidi kupaaza sauti: "mheshimiwa, mwana wa daudi, utuhurumie!"
a narod preæae im da uæute; a oni jo veæma povikae govoreæi: pomiluj nas gospode, sine davidov!
basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu abrahamu mpaka daudi, vizazi kumi na vinne tangu daudi mpaka wayahudi walipochukuliwa mateka babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa kristo.
svega dakle kolena od avrama do davida, kolena èetrnaest, a od davida do seobe vavilonske, kolena èetrnaest, a od seobe vavilonske do hrista, kolena èetrnaest.
daudi mwenyewe akiongozwa na roho mtakatifu alisema: bwana alimwambia bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
jer sam david kaza duhom svetim: reèe gospod gospodu mom: sedi meni s desne strane, dok poloim neprijatelje tvoje podnoje nogama tvojim.
kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, "usilie! tazama! simba wa kabila la yuda, mjukuu maarufu wa daudi, ameshinda. yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu."
i jedan od stareina reèe mi: ne plaèi, evo je nadvladao lav, koji je od kolena judinog, koren davidov, da otvori knjigu i razlomi sedam peèata njenih.