Tentando aprender a traduzir a partir dos exemplos de tradução humana.
A partir de tradutores profissionais, empresas, páginas da web e repositórios de traduções disponíveis gratuitamente
yesu akajibu, "atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.
فاجاب وقال. الذي يغمس يده معي في الصحفة هو يسلمني.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, navyo vikageuka damu.
ثم سكب الملاك الثالث جامه على الانهار وعلى ينابيع المياه فصارت دما.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
ثم صبّ ماء في مغسل وابتدأ يغسل ارجل التلاميذ ويمسحها بالمنشفة التي كان متزرا بها.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
yesu akawaambia, "ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
فاجاب وقال لهم. هو واحد من الاثني عشر الذي يغمس معي في الصحفة.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa.
ثم سكب الملاك الثاني جامه على البحر فصار دما كدم ميت. وكل نفس حية ماتت في البحر.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate. maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
ثم سكب الملاك السادس جامه على النهر الكبير الفرات فنشف ماؤه لكي يعد طريق الملوك الذين من مشرق الشمس.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama, na wale walioiabudu sanamu yake.
فمضى الاول وسكب جامه على الارض فحدثت دمامل خبيثة ورديّة على الناس الذين بهم سمة الوحش والذين يسجدون لصورته
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, hekaluni, ikisema, "mwisho umefika!"
ثم سكب الملاك السابع جامه على الهواء فخرج صوت عظيم من هيكل السماء من العرش قائلا قد تم.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade:
Aviso: contém formatação HTML invisível
mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya mwanakondoo. kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa mungu.
ولما اخذ السفر خرّت الاربعة الحيوانات والاربعة والعشرون شيخا امام الخروف ولهم كل واحد قيثارات وجامات من ذهب مملوءة بخورا هي صلوات القديسين.
Última atualização: 2012-05-05
Frequência de uso: 1
Qualidade: