Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.
But there were false prophets also among the people, even as there shall be false teachers among you, who privily shall bring in damnable heresies, even denying the Lord that bought them, and bring upon themselves swift destruction.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Ilikuwa karibu nife kwa kucheka kutokana na hadithi hizi za kutunga, pengine ni jambo ambalo tungelitarajia - ukweli kuwa haya madudu maharibifu yaling'oa (tarumbeta za honi) kutoka kwenye magari moshi wakati yakifanya uharibifu wao kwa pamoja ni wazi kuwa kisiasa hautaweza kumezwa kirahisi rahisi (au kukubalika).
I almost died laughing at this pathetic fiction but suppose its to be expected - the truth that these destructive beasts ripped them from trains in orgies of vandalism is obviously too politically incorrect to swallow.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество: