Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
a coalition of civil society in the gambia have launched ebola free gambia to try and keep the country ebola free.
muungano wa asasi za kiraia nchini gambia umeanzisha kampeni ya gambia isiyo na ebola kama jitihada za kujaribu na kuifanya nchi hiyo kujikinga na maradhi hayo.
no further reasons have been advanced by the government, but relations between the gambia and the uk in 2013 have been rocky.
hakuna sababu nyingine zaidi zilizotolewa na serikali, ila ni wazi kuwa mahusiano kati ya gambia na uingereza mwaka 2013 yamekuwa magumu.
the confirmation created widespread fear among the gambians because of the closeness of senegal to gambia and porous borders between the two countries.
kuthibitishwa kwa mlipuko wa maradhi hayo kulisababisha kuenea kwa hofu miongoni mwa raia wa gambia kwa sababu ya ukaribu uliopo kati ya nchi hiyo na gambia ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa njia za panya katika mpaka wa nchi hizo.
yahya jammeh's gambia withdrawal from the commonwealth is more negative publicity worth one year's newspaper reporting.
kujitoa kwa gambia ya yahya jammeh kutoka jumuiya ya madola inatosha kuwa habari hasi kwa mwaka mzima wa taarifa za magazeti.
after the gambia announced the decision to dump its membership of the international body headed by queen elizabeth ii, netizens around the globe have reacted with mix feelings.
baada ya gambia kutangaza uamuzi wa kufutilia mbali uanachama wake wa chombo hicho cha kimataifa kinachoongozwa na queen elizabeth ii, watumiaji wa mtandao duniani kote wameitikia uamuzi huo kwa hisia tofauti.
gambia has and continued to benefit from commonwealth in diverse areas including education/scholarship, sports and most recently the commonwealth proposed national human rights commission.
gambia imekuwa na inaendela kufaidika na jumuiya ya mdola katika maeneo mengi ikiwa ni pamoja na elimu/ufadhili, michezo na hivi karibuni jumuiya hiyo ilipendekeza kuundwa kwa tume ya taifa ya haki za binadamu.
in august, researchers at oxford university announced that they will begin a trial of a potential vaccine on healthy uk volunteers once ethical approval is granted, which will eventually extend to the gambia and mali.
mwezi agosti, watafiti wa chuo kikuu cha oxford walitangaza kwamba wataanza majaribio ya kinga kwa wa-ingereza waliojitolea kushiriki zoezi hilo wakishapata ruhusa ya kuzingatia maadili ya tafiti, na kisha zoezi hilo linatarajiwa kufanyika pia kwenye nchi za gambia na mali.
efforts in the tiny west african state of the gambia, which hasn't been affected by the devastating ebola outbreak, are being intensified to protect the country from the deadly virus.
jitihada za gambia, nchi ndogo ya afrika magharibi ambayo bado haijakumbwa na mlipuko wa maradhi ya ebola, zimeongezwa kuilinda nchi hiyo na virusi vinavyoeneza maradhi hayo.
following the confirmation of the first ebola case in senegal, the gambia's immediate neighbour, concerns soared over the country's preparedness and public awareness about the disease.
kufuatia kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza wa ebola nchini senegali , nchi jirani ya gambia, ilikumbwa na tahayaruki kufuatia wasiwasi wa namna nchi hiyo ilivyojiandaa kukabiliana na maradhi hayo kadhalika kuhusu uelewa wa jamii kuhusiana na ugonjwa huo.
it is evening, four strangcrs check in at the seamount hotel in gambia's capital" banjul none of them knows the other three first to check in is about 609 karanja kimani, a professor in the institute of development at the university of nairobi, kenya. he's assigned a room on the fourth floor, east wing. ngobile melusi, about 70, a comrade and a citizen of zimbabweis second to check in and is allocated a room on the fifth floor of the south wing. third to clock in is about 50, chineke chi
ni jioni, wageni wanne wanaoingia katika hoteli ya the seamount katika mji mkuu wa gambia " banjul hakuna hata mmoja wao anayejua wengine watatu wa kwanza kuingia ni 609 karanja kimani, profesa katika taasisi ya maendeleo katika chuo kikuu cha nairobi, kenya. ameweka chumba kwenye ghorofa ya nne, upande wa mashariki. ngobile melusi, karibu 70, mwenzake na raia wa zimbabwe wa pili kuingia na anatengewa chumba kwenye ghorofa ya tano ya mrengo wa kusini. tatu kwa saa ni kama 50, chineke chi