Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
in jerusalem you filled the deciples with the holy spirit
katika yerusalemu mmejaza mashemasi yenu kwa roho takatifu
Последнее обновление: 2023-10-02
Частота использования: 1
Качество:
and she coming in that instant gave thanks likewise unto the lord, and spake of him to all them that looked for redemption in jerusalem.
saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa yerusalemu.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
there are a number of female and male detainees in jerusalem. #j14 police keep arresting people and piling them into police vans.
polisi wanaendelea kuwakamata watu na kuwajaza katika magari yao yapolisi.
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
and we are witnesses of all things which he did both in the land of the jews, and in jerusalem; whom they slew and hanged on a tree:
sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyotenda katika nchi ya wayahudi na katika yerusalemu. walimuua kwa kumtundika msalabani;
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
and when they had fulfilled the days, as they returned, the child jesus tarried behind in jerusalem; and joseph and his mother knew not of it.
baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini yesu alibaki yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
then tidings of these things came unto the ears of the church which was in jerusalem: and they sent forth barnabas, that he should go as far as antioch.
habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la yerusalemu. hivyo wakamtuma barnaba aende antiokia.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
a protest organized by three groups affiliated with the israeli social justice movement (#j14) was held in jerusalem on saturday night (june 8).
maandamano yaliyoandaliwa na vikundi vitatu vinavyohusiana na vuguvugu la israel la haki ya kijamii (#j14) yalifanyika jijini yerusalemu mnamo jumamosi usiku (juni 8).
Последнее обновление: 2016-02-24
Частота использования: 1
Качество:
but bade them farewell, saying, i must by all means keep this feast that cometh in jerusalem: but i will return again unto you, if god will. and he sailed from ephesus.
bali alipokuwa anaondoka, alisema, "mungu akipenda nitakuja kwenu tena." akaondoka efeso kwa meli.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
and, behold, there was a man in jerusalem, whose name was simeon; and the same man was just and devout, waiting for the consolation of israel: and the holy ghost was upon him.
wakati huo huko yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha mungu, jina lake simeoni. yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa israeli. roho mtakatifu alikuwa pamoja naye.
Последнее обновление: 2012-05-06
Частота использования: 1
Качество:
holy is he who carried his servant by night from the holy mosque (in makkah) to the farther mosque (in jerusalem) whose surroundings we have blessed that we might show him some of our signs.
subhana, ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka msikiti mtukufu mpaka msikiti wa mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya ishara zetu.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
god is the exalted one who took his servant one night for a visit from the sacred mosque (in mecca) to the aqsa mosque (in jerusalem). god has blessed the surroundings of the aqsa mosque.
subhana, ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka msikiti mtukufu mpaka msikiti wa mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya ishara zetu.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
glorified (and exalted) be he (allah) [above all that (evil) they associate with him] [tafsir qurtubi, vol. 10, page 204] who took his slave (muhammad saw) for a journey by night from al-masjid-al-haram (at makkah) to the farthest mosque (in jerusalem), the neighborhood whereof we have blessed, in order that we might show him (muhammad saw) of our ayat (proofs, evidences, lessons, signs, etc.).
subhana, ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka msikiti mtukufu mpaka msikiti wa mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya ishara zetu.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество: