Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
and they said, lord, behold, here are two swords. and he said unto them, it is enough.
nao wakasema, "bwana, tazama; hapa kuna panga mbili." naye akasema, "basi!"
and jesus answered and said unto them, are ye come out, as against a thief, with swords and with staves to take me?
yesu akawaambia, "je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
in that same hour said jesus to the multitudes, are ye come out as against a thief with swords and staves for to take me? i sat daily with you teaching in the temple, and ye laid no hold on me.
wakati huohuo yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, "je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? kila siku nilikuwa hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!
and immediately, while he yet spake, cometh judas, one of the twelve, and with him a great multitude with swords and staves, from the chief priests and the scribes and the elders.
yesu alipokuwa bado anasema, yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee.
then jesus said unto the chief priests, and captains of the temple, and the elders, which were come to him, be ye come out, as against a thief, with swords and staves?
kisha yesu akawaambia makuhani wakuu, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumkamata: "je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?