Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
sydens dronning skal oprejses ved dommen sammen med denne slægt og fordømme den; thi hun kom fra jordens grænser for at høre salomons visdom; og se, her er mere end salomon.
malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. maana yeye alisafiri kutoka mbali akaja kusikiliza maneno ya hekima ya solomoni, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko solomoni.
sydens dronning skal oprejses ved dommen sammen med mændene af denne slægt og fordømme dem; thi hun kom fra jordens grænser for at høre salomons visdom; og se, her er mere end salomon.
malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko solomoni.
og han stod op og gik. og se, der var en Æthioper, en hofmand, en mægtig mand hos kandake, Æthiopernes dronning, som var sat over alle hendes skatte; han var kommen til jerusalem for at tilbede.
basi, filipo akajiweka tayari, akaanza safari. wakati huohuo kulikuwa na mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya kandake, malkia wa ethiopia. alikuwa amekwenda huko yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.