Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
otros decían que elías había aparecido, y otros que alguno de los antiguos profetas había resucitado
wengine walisema kwamba eliya ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani.
sabemos que cristo, una vez resucitado de entre los muertos, ya no muere; la muerte no se enseñorea más de él
maana, tunajua kwamba kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.
el tetrarca herodes oyó de todo lo que estaba pasando; y estaba perplejo, porque algunos decían que juan había resucitado de los muertos
sasa, mtawala herode, alipata habari za mambo yote yaliyokuwa yanatendeka, akawa na wasiwasi kwa vile walikuwa wakisema: "yohane amefufuka kutoka wafu!"
por esto, cuando fue resucitado de entre los muertos, sus discípulos se acordaron de que había dicho esto y creyeron la escritura y las palabras que jesús había dicho
basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini maandiko matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema yesu.
ahora bien, si cristo es predicado como que ha resucitado de entre los muertos, ¿cómo es que algunos entre vosotros dicen que no hay resurrección de muertos
sasa, maadam inahubiriwa kwamba kristo amefufuliwa kutoka wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?
luego, apareció a los once cuando estaban sentados a la mesa, y les reprendió por su incredulidad y dureza de corazón, porque no habían creído a los que le habían visto resucitado
mwishowe, yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
el que estaba muerto y que luego hemos resucitado dándole una luz con la cual anda entre la gente, ¿es igual que el que está entre tinieblas sin poder salir?
je, aliye kuwa maiti kisha tukamhuisha, na tukamjaalia nuru inakwenda naye mbele za watu, mfano wake ni kama aliyoko gizani akawa hata hawezi kutoka humo?
y dijo a sus criados: "¡Éste es juan el bautista! Él ha resucitado de los muertos; por esta razón operan estos poderes en él.
basi, akawaambia watumishi wake, "mtu huyu ni yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
entonces mucha gente de los judíos se enteró de que él estaba allí; y fueron, no sólo por causa de jesús, sino también para ver a lázaro, a quien él había resucitado de entre los muertos
wayahudi wengi walisikia kwamba yesu alikuwa bethania. basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona yesu, ila pia wapate kumwona lazaro ambaye yesu alimfufua kutoka wafu.
respondiendo ellos dijeron: --unos, que juan el bautista; otros, que elías; y otros, que alguno de los antiguos profetas ha resucitado
nao wakamjibu, "wengine wanasema kuwa wewe ni yohane mbatizaji, wengine wanasema wewe ni eliya, hali wengine wanasema kuwa wewe ni mmoja wa manabii wa kale ambaye amefufuka."