Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
itaque fratres aemulamini prophetare et loqui linguis nolite prohiber
hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
et resedit qui erat mortuus et coepit loqui et dedit illum matri sua
yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. na yesu akamkabidhi kwa mama yake.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
mulieres in ecclesiis taceant non enim permittitur eis loqui sed subditas esse sicut et lex dici
kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo sheria.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
adhuc eo loquente ad turbas ecce mater eius et fratres stabant foris quaerentes loqui e
yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
et ego fratres non potui vobis loqui quasi spiritalibus sed quasi carnalibus tamquam parvulis in christ
ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu mlio na huyo roho. nilipaswa kusema nanyi kama watu wa kidunia, kama watoto wachanga katika maisha ya kikristo.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
agrippa vero ad paulum ait permittitur tibi loqui pro temet ipso tunc paulus extenta manu coepit rationem redder
basi, agripa akamwambia paulo, "unaruhusiwa kujitetea." hapo paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
et cum coepisset induci in castra paulus dicit tribuno si licet mihi loqui aliquid ad te qui dixit graece nost
walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, "naweza kukwambia kitu?" yule mkuu wa jeshi akamjibu, "je unajua kigiriki?
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
egressus autem non poterat loqui ad illos et cognoverunt quod visionem vidisset in templo et ipse erat innuens illis et permansit mutu
alipotoka nje, hakuweza kusema nao. ikawa dhahiri kwao kwamba alikuwa ameona maono hekaluni. lakini akawa anawapa ishara kwa mikono, akabaki bubu.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
et dixit ad eum paulus ego homo sum quidem iudaeus a tarso ciliciae non ignotae civitatis municeps rogo autem te permitte mihi loqui ad populu
paulo akajibu, "mimi ni myahudi, mzaliwa wa tarso katika kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. tafadhali, niruhusu niongee na watu.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование
et coepit illis in parabolis loqui vineam pastinavit homo et circumdedit sepem et fodit lacum et aedificavit turrem et locavit eam agricolis et peregre profectus es
yesu alianza kusema nao kwa mifano: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.
Последнее обновление: 2012-05-04
Частота использования: 1
Качество:
Предупреждение: Содержит скрытое HTML-форматирование