Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kwa imani watu wa israeli walivuka bahari ya shamu, kana kwamba ilikuwa nchi kavu; lakini wamisri walipojaribu kufanya hivyo walikufa maji.
by faith they passed through the red sea as by dry land: which the egyptians assaying to do were drowned.
ndiye aliyewaongoza wale watu watoke misri kwa kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya misri, katika bahari ya shamu na jangwani kwa muda wa miaka arobaini.
he brought them out, after that he had shewed wonders and signs in the land of egypt, and in the red sea, and in the wilderness forty years.
kuongezeka kwa matukio ya matumizi ya nguvu na uharibifu tunaoshuhudia nchi kote kila siku ni tone dogo katika bahari ya hasira na chuki inayotokana na kukosekana kwa usawa huu.
the increasing incidents of mass violence and vandalism we are witnessing across the country daily are but a tiny ripple in the sea of resentment resulting from this inequality.
aliondoka nazareti, akaenda kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya genesareti, mpakani mwa wilaya za zabuloni na naftali, akakaa huko.
and leaving nazareth, he came and dwelt in capernaum, which is upon the sea coast, in the borders of zabulon and nephthalim:
usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya adria. karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
but when the fourteenth night was come, as we were driven up and down in adria, about midnight the shipmen deemed that they drew near to some country;
katika safari hiyo, wakati wa matembezi katika pwani ya bahari ambayo jina lake nimelisahau, vidole vyangu vilihisi maji ya bahari ya atlantic, hali inayonikumbusha pia venezuela.
on that trip, during a visit to a beach whose name i have forgotten, my toes first felt the waters of the atlantic, i owe that to venezuela too.
mwanablogu mmisri, zeinobia, amesambaza onyesho hili la picha kutoka hala'ib, bandari na mji katika mwambao wa bahari ya shamu, kwenye pembetatu ya hala'ib, karibu na mpaka wa sudan:
egyptian blogger zeinobia shares this slideshow of photographs from hala'ib, a red sea port and town, located in the hala'ib triangle, close to the sudanese border:
rambirambi zilimiminika kwenye twita baada ya ndege ya shirika la ndege la ethiopia kuanguka kwenye (bahari ya) mediterani dakika chache baaday ya kupaa ikitokea beirut, lebanoni.
condolences poured in on twitter after an ethiopian airlines jet plunged into the mediterranean minutes after its take off from beirut, lebanon.
kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na mungu.
and i saw as it were a sea of glass mingled with fire: and them that had gotten the victory over the beast, and over his image, and over his mark, and over the number of his name, stand on the sea of glass, having the harps of god.
mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
and before the throne there was a sea of glass like unto crystal: and in the midst of the throne, and round about the throne, were four beasts full of eyes before and behind.