Обучается переводу с помощью примеров, переведенных людьми.
Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
did we not make the earth a bed?
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
kwani hatukuifanya ardhi yenye kukusanya
have we not made the earth a receptacle
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 4
Качество:
na hatukuifanya ndoto tulio kuonyesha ila ni kuwajaribu watu, na mti ulio laaniwa katika qur'ani.
and we did not make the sight which we showed you except as a trial for the people, as was the accursed tree [mentioned] in the qur'an.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
na hatukuifanya ndoto tulio kuonyesha ila ni kuwajaribu watu, na mti ulio laaniwa katika qur'ani. na tunawahadharisha, lakini haiwazidishii ila uasi mkubwa.
we told thee that thy lord doth encompass mankind round about: we granted the vision which we showed thee, but as a trial for men,- as also the cursed tree (mentioned) in the qur'an: we put terror (and warning) into them, but it only increases their inordinate transgression!
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
na tulipo kwambia: hakika mola wako mlezi amekwisha wazunguka hao watu. na hatukuifanya ndoto tulio kuonyesha ila ni kuwajaribu watu, na mti ulio laaniwa katika qur'ani.
and (it was a warning) when we told thee: lo! thy lord encompasseth mankind, and we appointed the sight which we showed thee as an ordeal for mankind, and (likewise) the accursed tree in the qur'an.
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество:
na hatukuwafanya walinzi wa motoni ila ni malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa kitabu, na wazidi imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa kitabu na waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: mwenyezi mungu amekusudia nini kwa mfano huu?
and we have appointed none but the angels to be wardens of the fire. and their number we have made only a trial for those who disbelieve, so that those who are vouchsafed the book may be convinced, and that those who believe may increase in faith, and that those who are vouchsafed the book and the believers may not doubt, and that those in whose hearts is a disease and the infidels may say: what meaneth allah by this description!
Последнее обновление: 2014-07-03
Частота использования: 1
Качество: