Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
wabunge hao pia walitilia mkazo mtazamo hasi dhidi ya utoaji mimba unaofanana kwa makanisa yote ya kikristo nchini ukraine
the lawmakers also stressed the negative attitude toward abortions shared by all christian churches of ukraine.
3- inakuwaje kosa pekee la mtu kuanzisha biashara liwe ni kwa sababu eti anaongoza huduma ya kikristo?
3- how can a man’s only crime for starting a business be the fact that he heads a christian ministry?
hata hivyo, kuna wakristo wachache sana nchini japani, ambako chini ya asilimia moja ya idadi wa watu ni waumini wa imani ya kikristo.
however, there are very few christians in japan, where less than 1% of the population observes the christian faith.
tafadhali bw. katibu mkuu, sisi kama wa-zambia tumeridhia kuwa tu taifa la kikristo, ni katiba yetu na hiyo inakuwa haki yetu.
please mr secretary general, we as zambians have accepted that we are a christian nation, it is in our constitution and so becomes our right.
msichana wa kikristo mwenye umri wa miaka 11, ramsha masih amehukumiwa kwa kukashifu imani na ameshikiliwa kwa siku 14 katika gereza la watoto katika jiji pacha la mji mkuu wa pakistani liitwalo rawalpindi.
an 11-year old christian girl, rimsha masih has been accused of blasphemy and has been remanded for 14 days to a juvenile prison in the twin city of the pakistan capital, rawalpindi.
mapema mwezi machi mwaka huu, watazamaji walishuhudia jumla ya wafanyakazi wa muda mrefu katika kituo cha kikristo cha kulelea watoto yatima wapatao 20 wakifukuzwa kutoka katika nchi ambayo wanaiona kama nyumbani.
in early march, observers watched as around 20 long-time christian orphanage workers were expelled from the country they called home.
@sherryrehman: raisi zardari ameziwekea msisitizo mkubwa taarifa kuhusiana na kuwekwa kizuizini kwa msichana huyu wa kikristo anayetuhumiwa kukashifu dini na pia ameomba kupewa taarifa hizo..
@sherryrehman: pres zardari has taken serious note of reports of the arrest of a minor christian girl on the charges of blasphemy & called for a report.
ndugu, mnaifahamu jamaa ya stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya kikristo katika akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa mungu. ninawasihi ninyi ndugu zangu,
i beseech you, brethren, (ye know the house of stephanas, that it is the firstfruits of achaia, and that they have addicted themselves to the ministry of the saints,)
basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya kikristo. hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini mungu;
therefore leaving the principles of the doctrine of christ, let us go on unto perfection; not laying again the foundation of repentance from dead works, and of faith toward god,
@anthonypermal: @anthonypermal: imethibitika- polisi wa pakistani wamemtia nguvuni msichana wa kikristo wa miaka 11 kwa tuhuma za kukashifu dini.
@anthonypermal: confirmed- police in #pakistan have arrested an 11 year old christian girl suffering from downs syndrome for blasphemy.
habari mpenzi wangu, nadhani kwamba wewe ni vizuri sana. ninasikitika sana kwamba sikuweza kujibu ujumbe wako kwa wakati. nilikuwa na shughuli nyingi sana katika ofisi ya tume ya kikristo ya kibinadamu. nilipokea zawadi na vitu kutoka kwa shirika (tume ya kikristo ya kibinadamu) na mawazo yako yalikuja akilini mwangu, na niliamua kuwatumia baadhi kama zawadi. kwa kweli sihitaji baadhi ya hizi, kwa hivyo nadhani zinaweza kuwa na manufaa kwako kwa njia fulani. na pia kwa ajili ya wewe kushuhudia katika moyo wako kwamba mimi alikuja kwanza
hello my dear, i assume that you are very well. i am very sorry that i was unable to reply to your message in time. i wasso i think they might be useful to you in some way. and also for you to record in your heart that i came first