Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
wakati wa mkesha wa sherehe hizo nchini misri, waumini hueelekea makanisani na kusherehekea tukio hilo takatifu.
on the eve of their celebrations in egypt, copts go to churches and celebrate the holy event.
sababu ilikuwa kwamba dhamiri yake ilimshtaki baada ya kuwa amewanyanyasa raia walioshiriki katika mkesha wa tukio la kuwasha mishumaa.
the reason was that he felt guilty after suppressing civilians who attended candlelight vigils.
kwenye jiji la buenos aires, sehemu ya kukutania ilikuwa obelisk, ambapo mashabiki walikuwa na mkesha:
in the city of buenos aires, the meeting point was the obelisk, where the celebrations extended into the night:
kwa masikitiko hata hivyo, sherehe yetu ilitekwa kwa mara nyingine na wapuuzi wasio na aibu waliolipua bomu katika soko ambalo mara zote hujaza watu sana liitwalo mogadishu cantonment abuja kwenye mkesha wa mwaka mpya.
sadly though, our celebration was hijacked once more by some faceless cowards who detonated a bomb in the usually crowded mammy market of the mogadishu cantonment (sani abacha barracks) abuja on new year eve.
katika mkesha wa mapinduzi mwaka 2011 wanachama wa kikundi hicho cha “wasiojitambulisha” waliotawanyika duniani kote walishambulia tovuti kadhaa za serikali katika kile kilichoitwa operation tunisia.
on the eve of the revolution in 2011 anonymous members worldwide targeted several governmental websites in what was known as operation tunisia.
baada ya maandamano haya, wavenezuela waliandaa mkesha mbele ya jengo la makao makuu ya umoja wa mataifa ya marekani (oas) jijini mexico tarehe 18 februari.
after this march, venezuelans arranged a vigil in front of the oas (organization of american states) headquarters in the mexican capital on february 18th.
tunadhani maisha ya waafrika na wakenya yana thamani kubwa, hili haliwezi kusahaulika kiwepesi, kwa hiyo tulianzisha kundi la soga kwenye mtandao wa wechat ambapo ndani ya muda mfupi tulifikia watu 100 tuliokuwa pia tukisambaza tangazo tulilokuwa tumelitengeneza kwa ajili ya ibada yetu ya mkesha kwa watu tuliokuwa tukiwafahamu.
we think african and kenyan lives matter, this cannot fall into oblivion so we created a wechat group where very rapidly we had about 100 people who also shared the poster we made for the vigil in their own circles.
mwanablogu mrwanda, negrita's chronicles, alitoa mwito kwa wasomaji wake kushiriki katika mkesha wa kitaifa wa kuwasha mishumaa ili kuwakumbuka wahanga wa mauaji. alifanya hivyo kupitia blogu yake:
rwandan blogger negrita's chronicles asked her readers to join the nation-wide candlelight vigil for the victims through her blog:
kwa mfano, nchini puerto rico, katika mkesha kuamkia siku ya ziara ya wafalme watatu, watoto huacha bilauri katika kisanduku kidogo kwa ajili ya farasi wa melchor, gaspar, na baltasar, wakiwashukuru kwa ajili ya zawadi watakazozipokea siku inayofuata.
in puerto rico, for example, on the eve of the three kings' visit, children leave grass in a shoebox for the horses of melchor, gaspar, and baltasar, thanking them for the gifts they will receive the next day.